
UAMUSHO
MKUU KUTOKE TANZANIA ULIO GAWANYIKA MARA 3
Tarehe
31/1/205 saa tisa alfajiri nilipokuwa katika Roho mtakatifu macho yangu ya roho
yalifunguka nami nikaliona kanisa la Bwana katika nchi ya Tanzania likiwa
katika hali ya ukiwa na kujikunyata kanisa amabalo limesinyaa kanisa amabalo
halina mamlaka kabisa,nikiwa katika hali ya kuendelea kulitazama kanisa Bwana
akaniambi lete mkono wako nami nilipofungua kiganja changu cha mkono akaniwekea
vitu viwili vidogo vyenye mfano wa vidonge vya priton kisha akaniambia kunja
kiganja chako halafu tembea
Nilipoanza
kutembea vile vitu viliwaka moto ndani ya mkono wangu naye akasema kaza mwendo
nilipo kaza mwendo navyo vikazidi kuwaka zaidi akaniambia kwa sauti kuu
kimbiiaaa nilipokimbia vikalipuka mlipuko mkuu katika mkono wangu naye
akaniambie mwaga huo moto katika ardhi ya Tanzania nami nikafanya
hivyoo,akaniambia huu ni uamusho mkuu unakwenda kutokea kwa mkono wangu
mwenyewe ni uamusho ambao hapana mtu yeyote awezaye kuubeba kwa mkono wake
isipokuwa ni kwa mkono wangu mwenyewe .
Baada ya
hapo niliendelea kutembea katika njiaa hiyohiyo ya kanisa ndipo nikaona uamusho
wa pili ambao ni uamusho wa uponyaji wa magonjwa sugu ,Bwana akanionyesha kwa
mfano wa kapu kubwa sana lililo jaa aina flani ya matunda ukitaza kwamfano wa
kibidamu yanafanana na machungwa lakini ni makubwa sana akaniambia chukua ule
nilipochukua hayakuwa na ladha yoyote mwanzoni hivyo sikumaliza nikatupa inje
ya lile kapu akaniambia chukua jingine ule nami nilipochukua nikaanza kula
kwambali nilihishi ladha flani mdomoni mwangu baada ya hapo akanimbia huu ni
uamusho wa uponyaji wa magojwa sungu na tena amelikumbuka kanisa na watu
masikini ambao hawana pesa za kufuata tiba katika inchi za mbali yohana 6:30 .
Nilipo endelea mbele kidogo nikama nilishuka katika
bode flani nami nikakuta mvua kubwa sana
nabaada ya hiyo mvua nikaona majengo makubwa sana ya kuabudi na tena
nikaliona kusanyiko kuu likiabudu Mungu katika Roho na kweli na katika uweza
mkuu wa Mungu .
Nabii patimo
www.trbimtz.org
KIJUE CHUMBA CHAKO
CHA SAUTI
NA NABII PATIMO DK
UTANGULIZI:
Awali ya Mambo yote kabisa napenda
kufahamisha mpendwa msomaji wa kitabu hichi kuwa huu ni ufunuo ambao Mungu
mwenyewe amependa kunifunulia ili kuliponya kanisa lake, kwani watu wengi wanapata
shida kubwa sana wanaposhindwa kuisikia sauti ya Mungu kwa sababu ya kutokujua
mfumo huu wa chumba chacko cha sauti.
watu wengi wanadhani kwamba lengo la
Mungu kutupa uwezo wa kiufahamu (akili) ni kwajili tu ya maisha ya mwilini
tu’lakini kupitia kitabu hiki ujifunza pamoja na kufamu kwamba tulipewa akili
kwa lengo la kurahisisha mawasiliano yetu na Mungu wetu kwamfano wakati Mungu
anamwita Nabii Musa kwa wasomaji wa maandiko matakatifu wanafahamu kwamba Musa
hakuwa rohoni bali kilichotumika kama muunganiko wa musa na Mungu ni ufahamu
wake
kutoka 3:2Malaika wa Bwana
akamtokea,katika mwali wa moto ulitoka katikati ya kijiti;akatazama,na
kumbe!kile kijiti kiliwaka moto,nacho kijiti hakikuteketea.
Katika maandiko hayo tunaona kwamba
pamoja na kuwa Mungu alihitaji kuzungumza na Musa lakini ilikuwa inategemea
sana ufahamu na maamuzi ya akili yake juu ya kijiti kinachowaka moto na
kisiteketee na ndio maana baada ya kutambua ndani yake kwamba hichi siyo kitu
cha kawaida akageuka na ndipo Mungu akasema naye hii ndiyo sababu nilisema hapo
nyumba kwamba tulipewa akili ili zitumike kama chombo muhimu cha mawasiliano
baina ya mwanadamu na Mungu kwa lugha nyingine tungesema kwamba Mungu alitaka
kurahisisha kazi ya kusema na wanadamu.
(a) Ndani ya mwanadamu yeyote alieumbwa na Mungu awe
na akili timamu au hata kama akili zake haziko timamu ila ilmradi anaishi.
Basi
ndani yake kuna chumba kikuu ambacho kazi yake ni kutengeneza sauti mbali mbali
ndani ya huyo mtu,
Jambo muhimu ambalo nataka
kukufahamisha ni kwamba Ingawa chumba kikuu ni kimoja lakini kinaweza kutumiwa
na watu wawili kwa wakati mmoja jambo ambalo limekuwa likileta shida kubwa sana
ndani ya kanisala Bwana na hii ndio maana Mungu ameachilia ufunguo huu ndani
yangu kwa lengo la kuliponya kanisa lake Tanzania na Duniani kote.
(B) Ndugu mtu wa Mungu ambaye Mungu
amekupa kusoma Kitabu hiki, kitabu ambacho kwa hakika naamini kitakuwa msahada
mkubwa kwa watu wote wa jamii ya waaminio na itakupa urahisi wa masiliono kati
ya Mungu na kanisa lake hatahivyo ni muhimu kuomba kabla hujachukua hatua za
kusoma kitabu hiki ili upate ufahamu wa ndani zaidi juu ya haya na nimaombi
yangu kwamba mausiano yako na Mungu yatakuwa imara sana na maisha yako
hayatabaiki jinsi yalivyo sasa katika jina la Yesu wa Nathazert itikia kwa
sauti kubwa aimen.
Na inawezekana
kabisa hujaokoka ikiwa kwa hiari mwenyewe ungependa kuoka leo basi neema ya
Mungu iokoayo wanadamu wote bado iko wazi kwako chukua atua ya imani sasa
kuomba sala hii fupi ya Toba.
Eee
Bwana Yesu anakuja kwako leo nimejitambua kuwa mimi ni mwenye Dhambi Bwana naja
kwako kwa njia ya damu yako uliyoimwaga pale msalabani inenayo mema ikaneneka
mema kuanzia leo hii,nina tubu dhambi zangu zote nilizofanya kuanzia mwanzo wa
maisha mpaka leo futa majina yangu katika kitabu cha hukumu nakuomba andika
majina yangu latika kitabu cha uzima wa milele tangu leo mimi ni mwana tena
mimi ni raiya serikali ya Ufalme wa mbingu Amen.
!
Ndugu
yangu mpendwa baada ya hiyo sala wewe ni raia wa Serikali ya Ufalme wa mbinguni
tangu leo Bwna Yesu amekusamehe dhambi na makosa yako yote
Oo haleluya Kwa Bwana Mungu sasa kaa vizuri
kujifunza na kufahamu kwa undani zaidi kuhusu chumba kikuu cha sauti kwa lugha
ya Kiingereza ni Sound Enginering room.
(1) MWANZO
WA CHUMBA SAUTI
Sehemu ya kwanza,siku ile ambayo mwanadamu
anapozaliwa kitu cha kwanza kabisa ambacho kinafanyika kwake ni cha ajabu sana
kwani baada ya kuzaliwa mawasiliano ya kwanza huwa ni kwenye chumba kikuu cha
sauti Oh haleluya kwa Bwana maana yake tangu siku uliyozaliwa ulipewa ufunguo
wa chumba chako cha asati siri hii huifahamu sana kwa ndani madaktari kwamba
motto anapozaliwa tu’kitu cha kwanza ni lazima alie Oh haleluya na asipo lia madaktari watafanya kila
liwezekanalo kumliza huyo motto kwanini wanafanya hivyo?.
nikwamba
maisha ya mwanadamu huwa yanaongowa za sauti chochote kinacho fanyanyika
duniani mwongozo wake ni wa sauti kwa mfano unaweza kuwa ndani ya chumba na
mwinge akawa chumba kingine na Yule wa chumba kingine akapiga makofi japokuwa
wewe hujamwona akipiga makofi lakini kutokana na sauti uliyoisikia utafamu
kwamba huyu mwenzangu anapiga makofi,unaweza kuona kitu halafu usikifahamu
lakini nivigumu kuisikia sauti flani halafu ukashindwa kuifahamu .
1Wakorintho
14:10 yamkini ziko sauti za namna nyingi duniani, wala hakuna moja isiyo na
maana .11 Basi nisipoijua maana ya ile sauti nitakuwa kama mjinga kwake yeye
anenaye; naye anenaye atakuwa kama mjinga kwangu.
Katika hayo maandiko tunajifunza pamoja na
kuona Duniani kuna sauti za namna nyingi kila sauti huwa ina maana yake kamili
Ingawa wewe mwenyewe
unaweza
Usifahamu kabisa
maana yake nini lakini hakuna
Sauti ndani ya mwana
damu ambayo haina
Maana.ufunuo huu
utakuwa ni msaada mkubwa ndani ya maisha yako Oh Haleluya kwa Bwana Jambo muhimu
sana ambalo naomba ukumbuke ni kwamba duniani ziko sauti nyingi mbali mbali
Ni vema ufahamu
kwamba katika maisha ya mwanadamu kitu ambacho kinanafasi kubwa ni sauti kwa
mfano unapotaka kuwa tayari ndani yako kuna kuwa na sauti ya utajiri ndipo wazo
linakujabaada ya wazo ni imani baada ya imani kitu kinachofuata ni picha Oh
Haleluya kwa Bwana.
Sasa ugundue kwamba maisha ya mwanadamu Kwa
sehemu kubwa yanafanikiwa kutokana Na jinsi anavyo weza kusiliza na kufahamu
sauti ya yeye anenaye sijui kama umewahi kujiuliza kwa nini mtu anapoombewa halafu
akandelea kuwa na tatizo lile kwa mda mrefu baada ya kuombewa pamoja na kwamba
anaamini kwamba Yesu ni mponyaji maana yake ni kwamba katika chumbachake cha
sauti lile tatizo limeshatengeneza sauti kwahiyo ili apokee uponyaji ni lazima
aruhusu sauti ya Yule mtu mishi wa Mungu ambaye anafanya maombi,kwajili yake
badala yake yeye ndani yake ana ile sauti ya dactari ambaye alimwaambia kuwa anashida
Fulani ndani yake.
Ezekiel
2:1-4 Akaniambia mwanadamu
simama
kwa miguu yako, nami nitasema nawe.2naye aliposema name,roho ikaniingia,
ikanisimamisha;nikamsikia yeye aliyesema nami.
Katika hayo maandiko tunaona
Nabii Ezekiel akisema kwamba naye alipo sema nami roho ikaniingia maana nikwama
nyuma ya nene kuna nguvu na nyuma ya nguvu kuna Roho. Hii ina maana kwamba
unapoambiwa kuwa una shida Fulani hilo ni neno na baada ya kutamkwa linaenda
moja kwa moja hadi kwenye chumba chako cha sauti.
Mfano
neon (ukimwi) hilo ni neno ambalo halitoshi kuleta ugonjwa lakini nyuma ya hilo
neno kuna nguvu ya hilo neno na nyumba ya hiyo nguvu kuna roho ya ukimwi
na
pia kuna Roho ambayo itahakikisha inatengeneza kusudi la hilo neno ambalo
umetamkiwa pale mfano ubarikwe, ubarikiwe ni neno lakini nyuma ya hilo neno
kuna nguvu Fulani ya Baraka na nyuma ya hiyo Baraka kuna Roho ya Baraka ambayo
utahakikisha kwamba unabarikiwa sawasawa na lile neno ambalo umetamkiwa.
mtu
anakuwa na sauti nyingi ambazo zimerekodiwa kutokana na tatizo alilonalo kwa
nakumuka Mama mmoja akaniambia kwamba mtumishi wa Mungu mimi nasmbuliwa sana na
Presha pia na kisukari Wakati ananiambia hayo moja kwa moja nilimtazama kwa
macho ya kinabii nikaona kuwa ndani yake tayari chumba chake cha sauti kimesha
rekodi huo ugonjwa kwa hiyo inabidi Yesu aingilie kati katika chumba cha sauti
kukiondoa kile kilichorekodi na kuweka kingine kipya kwa kuwa ningemtakia neno
la uzima wala asingepokea muujiza wake kwani tayari ndani yake kumerekodiwa
sauti ya Doctari aliyempima na kumwambia kwamba ana sumbuliwa na tatizo la
ugonjwa wa presha na kisukari.
Kwa
lugha nyingine tunasema kwamba kwenye chumba chake hakukuwepo nafasi ya kupokea
hilo neno la uzima ambalo ningemtamkia kwa hiyo ilibidi nimfundishe kwanza
kuhusu Bwana wa uzima ufute hiyo Mpangilio wa kizamani ili aweze kupewa chumba
kipya cha sauti ya uzima inayosema uwe mzima na akawa mzima oh Bwana Yesu apewe
sifa. Kumbuka kwambakwa kila neno nyuma yake kuna nguvu na nyuma ya hiyo nguvu
Kuna
Roho.
Rumi 8:1-2 Sasa,
basi, hakuna hukumu ya adhabu juu yao walio katika Kristo Yesu. Kwa sababu
sheria ya Roho wa uzima uleuliokatika
Kristo Yesu imeniacha huru, mbali na sheria ya dhambi na mauti.
hapo
utajifunza na kuona kwamba
hapo
kuna sheria ya Roho wa uzima na hizo sheria ni
kwamba
unaposikia sauti kutoka kwa mtumishi wa
mungu
ambaye Mungu amemuinua mbele
yako
anapokutamkia neno la uzima aamini kwamba ni
mzima
Eb:
11: 6 lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza;kwa mtu amwendeaye Mungu
lazima aamini yeye yuko,na kwamba huwapa huwapa thawabu wale wamtafutao
yeyote
amwendeaye Mungu lazima aamini yeye yupo hiyo ni mojawapo ya sheria ya Roho wa uzima
kwamba pamoja na kuwa bado anajisikia kuumwa ila kwa sababu kuna sauti ya Mungu kupitia mtumishi wake ilisema
kwamba nimepona, basi naamini kwamba
nipo na katika jina la Yesu.
kwa hiyo kiruhusu mabadiliko ndani ya sauti
achana na sauti ambazo zilikuwa zinakuhubiria kabla hujakutana na neno la
uponyaji Oh halleluya kwa Bwana nakuahidi katika jina laBwana Yesu kwamba endapo
leo utaruhusu Bwana aingie katika chumba chako cha sauti hakika hauta kuwajinsi
iliyokuwa kabla
ya
kuruhusu Yesu ndani ya chumba cha sauti.
Ufunuo
3:20 Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na
kufngua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja
nami.
Tamani uonane kwamba Bwana yesu leo
anasimama katika mlango wako anabisha kitu cha muhimu ni wewe tu kusikia sauti
ya Bwana na baada ya kusikia utafungua ili aingie ndani yako nawe ndani yake
ndio maana nimekuambia kwamba Bwana Yesu akiingia kwako hautabakia kama ulivyo
kwani ataanza kukuza ba kuondoa sauti zingine za magonjwa na kila namna ya
kushindwa ndani ya maisha yako Oh haleluya kwa Bwana Yesu hivyo kaa tayari kumruhusu
Bwana afukuze sauti zingine mbaya ndani ya maisha yako Amen! Oh Bwana Yesu
apewe sifa. Hii itakusaidia kwamba unapoamua kumruhusu Yesu aingie ndani ya chumba
tayari anawafukuza wale matapeli wengine ambao walikuwa wanazalisha sauti
nyingine katika chumba Chako cha sauti.
. Mathayo 6:6 Bali wewe usalipo, ingia
katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za
Baba yako aliye sirini atakujazi.
kuingia
Katika chumba chako cha sauti chumba hicho ambacho Yehova Bwana anazungumzia ni
juu ya chumba chako cha kutengeneza sauti kwani
ni ukweli kwamba huwezi kuomba mpaka upate kufunga milango mingine
ambayo ili kuwa wazi kabla ya kuingia kwenye maombi kwa mfano labda umetokea
sokoni kuja kwenye maombi sasa unapokuja haujajua kwamba kuna kuna chumba
ambacho una takiwa kufunga mlango basi wewe utaingia kuomba maombi yako
yatakosa mwelekeo maana ndani yako bado sauti za sokoni zinasikia ndani yako
ndio maana BwanaYesu ametoa mwelekeo wa maombi.
SEHEMU YA PILI
IJUE SAUTI YA (1) NA
MAANA YAKE:
Ayubu
5:7 Lakini mwanadamu hazaliwi ila apate mashaka, kama cheche za moto
zirukavyo juu.
Ufunuo
huu utakusaidia wewe, wanao, na waju
kuu
pia Oh, haleluy Mtoto mdogo anapozaliwa ana atia ileile
ambayo
tayari maefuka dunia ni tayari unakuwa na
kitu
kinachoitwa mashaka kwa sababu ameingia
nchi
nyingine ambayo si salama.
Maana
kumbukumbu kwamba yeye nchi aliyotoka
ni
salama kabisa hivyo kitendo cha yeye kufika
duniani
naona kwamba kuanzia ile tarehe
amezaliwa
hadi mwisho wa maisha yake atakuwa si
salama
Oh haleluya kwa Bwana.
Kwa
mfano labda kama familia yake imegubikwa na
Roho
ya umasikini basi yule mtoto anapozaliwa
anaona
namna ya kukabiliana na yale mapito ya
kimasikini
kwani bado hapo ndani ya familia yake
kwani
alikotoka mambo hayo hayakuwepo hata
kidogo,
kwani ile tunaita ni nchi takatifu ya Bwana
mwenyewe
Amen! Hivyo mtoto anapolia fahamu
kwamba
anajaribu kutafuta njia mbadala ya
kujiepusha
na mambo magumu au mazito ambayo
atakabiliana
nayo maishani. Ninataka nikushauri
kwamba
uwe na tabia ya kuomba juu ya wanao
kila
mara hivyo fahamu kwamba watoto wanaona
kila
kinachokuja kwa ujumla sauti ya kilo ni hali ya ugumu ambayo mtoto atapitia
ndani ya safari ya maisha yake.
Amen
Bwana Yesu apewe sifa sana najua ya kwamba
mpaka
hapa ambapo tumekwisha kufika pamoja nawe
kwa
habari za chumba cha kusafishia sauti
kama
nilivyo
kusema kwamba maisha yote ya mwanadamu
yametawaliwa
na sauti kama ambavyo maandiko
yanasema
katika 1 wakorintho 14:10 –11Ya mkini ziko sauti zanamna nyingi duniani,
wala hakuna moja isiyo na maana. 11 Basi
nisipoijua maana ya ile sauti nitakuwa kama njinga kwake yeye anenaye; naye
anenaye atakuwa mjinga kwangu.
Oh haleluya kwa Bwana Mungu mweye nguvu ndugu
yangu
naomba mungu akufikishe mahali ambapo un
aweza
kugundua sauti ya yeye anenaye ndani yako kwa
maana
kama hajajua yeye anenaye kwako ni nani uta
kuwa
mjinga hivyo ni muhimu kumfahamu yeye anenaye
nawe
Jinsi ya kufahamu yeye anenaye nawe,
Yohana 10:16 Nakondoa wengine ninao, ambao si wa zizi hili;
Na
hao nao imenipasa kuwale; na sauti yangu
Wataisikia;
kisha watakuwa kundi moja na
mchunagji
mmoja.
Oh haleluya napenda
ufahamu
tu kwamba jinsi ambavyo utafahamu sauti
inayoita
sana ndani yako inategemea kwamba wewe ni
kondoo
wa kundi gani? Maana neno la Mungu
linasema
kwamba
kondoo wanaijua sauti ya mchungai wao hivyo
kuifahamu
sauti ivumayo ndani yako inategemea kwamba wewe ni wazizi gani wewe umefanyika mwana
wa
Mungu basi ufahamu kwamba sauti ambazo
utakuwa
unasikia zinaendana sana na ufalme wa
Mungu
na kwa maana wewe ni wazazi lile la
ufalme
wa mbinguni kwa hiyo sauti ambazo uta kuwanazo zitakuwa za ufalme wa Mungu kwa
sababu
upo Upande wake kwa mfano huwezi ku
waza
au kuwa na sauti ya uzima wakati wewe umeshaambiwa kwamba hatapona kwa hiyo
sauti
kubwa
ambayo utakuwa nayo ni ya kufa kumbuka
kuwa
kuna sauti mbili ambazo zinapingana.
Duniani
pande hizo ni upande wa ufalme wa
mbinguni
na upande mwingine ni juu ya ufalme
wa
shetani, hivyo sauti ambazo utakuwa
unzisikia
ni
kutokana na kwamba wewe ni uapande upi
yaani
wewe kama ni Raia wa Ufalme wa mbinguni
utasikia
sauti ya ufalme wa mbinguni lakini pia
kama
wewe ni wa ufalme wa shetani.
Yohana10:10
Mwivi
haji ila aibe na kuchinja na kuharibu;
mimi
nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe
nao
tele.
Unagunda
kwamba kumbe kusudi la Yesu kuja duniani ni ili tupate uzima tele
kwa
maana hiyo, kama wewe ni raia wa ufalme wa
mbinguni
basi lipo neno la uzima ndani yako
ndio maana ni vyema
kufahamu kwamba upande ulioko ndiko unaweza kusikia sauti za uapnde huo
Oh haleluya ni maombi yangu kwamba
Yehova yawe akupe neema ya kufahamu sauti yake ni ajabu sana na dio maana
katika neno
Ufunuo 3:20 Tazama, na simama mlangoni, nabisha; mtu
akiisikia sauti yangu, na
kufungua mlango, nitaingia
kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami
Oh sikiliza kwa makini maana hii
itakusaidia tangu ile siku ile
unapozaliwa chumba chako cha sauti
kinaanza kazi ya kurekodi matukio mbali mbali na ndipo siku ile
utapofungua mlango Yesu aingie ndani
yako hiyo ndio siku ambayo zile sauti ambazo ulikuwa nazo wakati ukiwa dhambini
zitafutwa ndio maana Yesu anasema kwamba atakayesikia sauti yake na kufungua
moyo wake yeye huingia ndani yake hii inamaana kwamba kuna watu wengine ambao
hawawezi kuisikia sauti ya Bwana Yesu kwa sababu ndani yao tayari kuna sauti
zingine za ufalme wa giza.
Yohana 3;16 kwa maana jinsi hii Mungu
aliupenda Ulimwengu,
maana yake ni kwamba pamoja na mambo
mengi ambayo yamegubika watoto wa Mungu alakini Mungu bado atamtuma mwanae wa
pekee ili kwamba kila amwamini asipotee bali awe na uzima wa milele. Na hii ndio maana katika ufunuo anasema mtu
akisikia kwa maana nyingine mtu anaweza asisikie
katika ukoo au katika familia unaweza kuuliza
kivipi mtu yeyote anapozaliwa mara ya kwanza anazaliwa kimwili kwa mapenzi ya
Baba na Mama maana hii ndio sababu kwamba lazima uwe chini ya sheria ingawa
wewe ni Bwana wa yote katika yohana 3:1—6 unagundua kwamba kitu
kilichozaliwa kwa mwili ni mwili na kilichozaliwa kwa Roho ni Roho.
mtu anapozaliwa anakuwa chini ya agano
lile la kwanza mambo yote ya kale yanaambatana naye kwani amezaliwa mara ya
kwanza, kuzaliwa mara ya kwanza maana
yake ni kwamba wanaokukata kitovu ni wanadamu
Ezekiel 16: 1 –6 Neno la Bwana
lilinijia tena, kusema, mwanadamu, uujulishe Yerusalumu machukizo yake. Useme,
Bwana MUNGU auambia Yerusalemu hivi; Asili yako na kuzaliwa kwako kwatoka katika nchi ya Mkanani; Mwamori alikuwa baba yako na mama
yako alikuwa Mhiti. Na katika habari za kuzaliwa kwako, siku ile uliyozaliwa,
kitovu chako hakikukatwa, wala hukuoshwa maji ya usafishwe; lakini ulitupwa nje
uwandani; huktiwa chumvi hata kidogo wala hukutiwa ngui kabisa. Name nilipo
pita karibu nawe, nikakuona ukigaagaa katika damu yako,
unagundua kwamba ingawa tendo la
kukata kitovu linaonekana kama la kimwili lakini lina nguvu ya maunganiko
katika ulimwengu wa kiroho ijapokuwa wanadamu
wanahusika kukikata Lakini Mungu nae
pia anakuja kukikata Pia na mara ya pili kwa njia ya Roho hapo ndipo utakuwa
mwana wa Mungu kwa kuzaliwa tena mara ya pili tena si kwa mapenzi ya mwili
mbali kwa roho .
2 koritho 5:17. Hata
imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo basi amekuwa kiumbe kipya; ya
kale yamepita tazama! yamekuwa mapya. upya maana yake ni
kuzaliwa mara ya pili, hii ina maana kwamba ni lazima ukatwe tena kitovu kwa
mara ya pili katika Bwana Yesu.
!
Yohana
1:12 Bali wote walio mpokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mgungu, ndio
wale waliaminio jina la Yesu.
. tunajifunza
pamoja na kuona kwamba bali wote. Oh
haleluya neno wote lina maana kubwa,Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa
kufanyika wana wa Mungu Amen! Hivyo fahamu kwamba si kwamba unaokoka kwa
sababu unaweza bali ni kwa uweza wa neno katika tafsiri nyingine ni mamlaka kwa
hiyo watu wengine wanaweza kusema kwamba hakuna kuokoka ni kwa sababu wewe
umempokea Yesu na kwa sababu neno linasema wote waliompokea
aliwapa uwezo wa
kufanyika wana wa Mungu ndio wale au
sisi tuaminio neno lake.
Hivyo sasa ukishafanyika mwana wa
Mungu tayari stesheni yako ya sauti inaanza kunasa sauti za ufalme wa mbinguni
na haki yake yote haleluya kwa Bwana.
SEHEMU YA TATU
NENO
LITATHIBITISHA!
Kwa sababu mpango wa Mungu ndani ya
maisha yake nathani ya kwamba ni mpango ambao ni mzuri ndani ya maisha yako
hasa ukilinganisha vile anayosema katika neno lake
Yeremia 29:11 Maana nayajua mawazo
ninayowazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si yamabaya, kuwapa
ninyi matuini siku zenu za mwisho.
Nanyi
mtaita na kwenda na kuomba nami
nitawasikiliza ninyi
mtanitafuta na kuniona mtakapo nitafuta kwa moyo wenu wote. Nami nitaonekana
kwenu asema Bwana.
Oh haleluya sana kwa mwana wa Mungu natamani
kwamba ufahamu vizuri na kuona kwamba kumbe upo mpango kabambe wa Mungu juu ya
maisha yako. Yote haya utagundua pale
ambapo chumba chako cha sauti kimekaa vizuri kama ambavyo nimekwisha kufundisha
ya kwamba Bwana Yesu mwenyewe alitoa mwelkeo wa jinsi ya kufanya maombi ya
kwamba wewe usalipo ingia ndani ya chumba chako cha sauti ndipo uanze kusali
tena baada ya kufunga milango ndipo uanze kusali.
Suala la kufunga milango misuala la
muhimu sana
kufahamu ndani ya maisha yako kama
mwombaji maana kama utaingia kusali milango yangu ikiwa wazi basi utakuwa
unaomba majibu yanakuja kinyume na unavyoomba
au unavyokusudia. Kwa sababu iko ivi shetani mpango alio nao juu ya
mwanadamu ni
kuangamiza pamoja na majeshi yake
yamekula kiapo cha kuua wanadamu ndipo Bwana Yesu asema
kwamba usalipo lazima uingie katika
chumba chako cha ndani kwa tafsiri nyingine shetani na majeshi yake wamekula
kiapo kwa hiyo ukiacha
kujificha au kajifungia chumbani
wakati wa kuomba basi mashambulizi yatakupata kwa wingi kwa sababu shetani
pamoja na majeshi yake wamekula kiapo cha kuwa tangu mawazo.
Hivi haina maana kwamba ukiwa ndani ya
chumba chako vita ndo umemaliza hapana, isipokuwa utapigana ukiwa salama huo
ndio unafuu au faida za kupigana ukiwa ndani ya chumba chako cha ndani ooh
haleluya hii ni sawa na mwanajeshi anapoingia katika andiko sio ndio vila vimeisha lahasha ila tu anajipanga upya
kwa mapambano makali zaidi,
Yohana 8:31-32 Basi yesu akawa
ambiwa wale wayahudi waliomwamini, Ninyi mmekaa katika neno langu, mmekuwa
kwelikweli. Tena mtafahamu kweli, nayo hiyo kweli itaweka huru.
Maandiko yasema kuwa ninyi mkikaa
katika neno langu neno kwa tafsiri nyingine ni ndani ya neno langu mmekuwa
wanafunzi wangu kweli kweli Oh haleluya, nataka nikwambie kwamba ili uthibitike
neno likae ndani uatweza kuthibiti kweli katika haki na katika sheria ya ufalme
wa mbinguni Katika maandiko hakuna
sehemu nyingine ambapo Yesu anasema tunaweza kuwa wanafunzi wake kweli kweli
ispokuwa pale tu tunakubali kukaa ndani ya neno ukiwa ndani ya Yesu hautahitaji
tena mtu mwingine kukuthibitisha ila lile neno lenyewe litakuthibitisha.
Ooh acha niseme kwamba kile chumba
chako kiwe na sauti ya ufalme wa mbinguni unahitaji neno la Mungu sana ndani ya
maisha yako maana neon ndilo litakutambulisha mbele za Mungu kwa njia ya maombi
ni pale utakapokuwa ukiomba kwa mfano:-
Baba katika jina la Yesu naja kwa njia
ya Yesu ukisema unajitambulisha tena kwa neno kwamba kama ulivyosema katika
neno lako
Mathayo 16:19 Nami nitakupa wewe
funguo za Ufalme wa
Mbinguni; na lolote utalofunga
duniani, litakuwa limefungwa mbinguni;na limefunguliwa na mbinguni; na lo lote
utakalolifungua duniani, na mbinguni litakuwa limefunguliwa mbinguni.
Hivyo nasema kwamba kulinganana neno
lako Bwana ninafunga milango mingine yote ambayo shetani ametumia kunishambulia
katika jina la Bwana Yesu nataka tu nikwambie wazi ukiweza kutumia neno la
Mungu katika maombi yako basi maombi yako yatakuwa yanajibiwa mpaka wewe
mwenyewe unashangaa maana utakuwa umethibiti katika haki pia utakuwa mbali na
kuonewa.
Isaya 54 :14utathibitika katika
haki;utakuwa mbali na kuonewa ,kwa maana hutaogopa ;na mbali na hofu ,kwa maana
haitakukaribia .
.
Ooo Bwana Yesu apewe sifa hakuna njia nyingine ambayo unaweza kuwa mbali
na kuonewa na sauti za kale isipokuwa pale tu utakapothibitika katika haki
Amen! Jambo la muhimu ni kwamba shetani
anaogopa sana mtu ambaye amethibitika katika haki Ooo ni maombi yangu kwamba
Mungu akupe neema uweze kuthibitika katika jina la Bwana Yesu.
Yohana 8:32 Tena
mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.
kutokana na sauti nyingi za mambo ya kale
umekuwa
ndani ya vifungo mbali mbali leo
kuna njia moja tu
ambayo wewe unaweza kukiponya chumba
chako cha sauti ili kiweze kupokea tena sauti za
Mbinguni.
huru ni kwa sababu hakuna njia katika
ufalme wa Mungu iwezayo kukuweka huru isipokuwa kweli kwa maana katika ufalme
wa Mungu haki mbele mengineyo nyuma ndiyo maana ya neno utafuteni kwa ufalem wa
mbinguni na haki yake yote na mengine mtazidishiwa.
Mpendwa
mwana wa Mungu hebu leo
ruhusu ukweli uwekeke huru nafahamu
kwamba mara nyingi umeamini katika uongo sana wakati mwingine uongo wa Mababu
zako mabibi wazazi hata matabibu kwa mfano inawezekana kuwa wewe umeshaambiwa
kuwa tumbo lako la uzazi kina uvimbe hivyo hautapata mtoto Ok nawe umeamini.
Nataka nikuambie kama nabii kuwa huo ni uongo wa kishetani hebu leo unaesoma
kitabu hiki achana na uongo huo tena
mwamini Mungu juu ya tumbo hilo la uzazi nawe katika jina la Yesu mwakani
majira kama haya haya utakuwa na mtoto kulingana kabisa na matakwa yako.
kutumia muda mwingi kuamini vitu
ambavyo ni njama za kishetani ili kukupoteza katika mpango na Mungu katika
maisha yako hivyo ndivyo vimechangia kwa kiasi kikubwa kuaribu mawasiliano ya
karibu na Mungu wako ndani ya Maisha yako lazima uwe makini sana ndani ya akili
pamoja ufaham wako kwa ujumla vinginevyo utakuwa uanarudi nyuma kila wakati
ndani ya maisha yako ya Rohoni.
Kwani
kuna mapepo ambao kazi yake ni kurudisha nyuma mishale yako nyuma kwamba kuna
vitu ulitakiwa kupata ndani ya mwaka mmoja lakini kutokana na mishale yako ya
saa kurudishwa nyuma na majeshi ya shetani ndio maana haujapata umeomba sana
mara kwa mara lakini hukupata jibu kutokana na maombi ambayo ulikuwa unaomba.
Daniel 10:11-14 Akaniambia Ee
Danieli mtu upendwaye sana, yafahamu maneno nikwambiayo, ukasimame kiwima-wima;
maana kwako nimetumwa sasa. Na alipo
niambia neon hili, nalisimama nikatetemeka.
Ndipo akaniambia, Usiogope, Danieli; kwa maana tangu siku ile ya kwanza
ulipo utia moyo wako ufahamu, na kujinyenyekeza
mbele za Mungu wako,
maneno yako yalisikiwa nami
nimekuja kwa ajili ya maneno yako ambayo wafalme wa uajemiwalinipiga kwa siku
ishirini lakini huyo mikael mmoja hao wakuu wa mbele akaja kunisaidia name
nikaenda huko pamoja na wafalme wa uajemi. Sasa nimekuja kukufahamisha mambo
yata yo wapata watu wako siku za mwisho maana hayo maono ni ya siku nyingi
bado.
kuna
majeshi ya shetani yanayorudisha maendeleo yako nyamu ambao kwa ujumla
maendeleo yako ya kiroho nyuma ndio maana ukishagundua ukweli katika maisha
yako kama mwana wa Mungu basi maombi yako yatajibiwa tu wapende au wasipende
sikiliza maombi ya Daniel yalijibiwa si kwasababu wafalme wa uajemi wanapenda
hapana ila yalijibiwa tu kwa sababu Danieli aliingia ndani ya chumba
akaniruhusu sauti unayoita Mungu ni Mungu ajibuye wala hakuruhusu sauti ya
kukata tama.
Luka
18:1 Akawambia mfano, ya kwamba yapasa
kumuomba Mungu siku zote, wala
wasikate
Tama.
Akasema palikuwa na hadhi katika mji
Fulani hamchi Mungu wala hajali watu na
katika mji huo palikuwa na mwanamke mjane aliyekuwa akimwendea mwendea akisema nipatie
haki na adui yangu nae kwa mda alikataa halafu akajisemea moyoni ijapokuwa
simchi Mungu wala sjali watu lakini kwa kuwa mjane huyu ananiudhi nitampa haki
yake ili asinichoshe kwa kimijaa daima Bwana akasema sikilizeni asemavyo yule
kadhi dhalimu.
Ooh
kulingana na mfano wa Bwana Yesu ni kwamba kubali kuwa msumbufu katika
ulimwengu wa Roho yaani katika lugha nyingine hapa hatoki mtu mpaka kieleweke
Oh haleluya kwa Mungu wetu.
kwani baada ya wewe kufukuza sauti nyingine
lazima kina sauti moja ambayo sasa itatawala kumbuka kwamba nilikwambia kuwa
pengine sauti zinazokutesa ni za mababu, mabibi au wazazi kwani Samwel alikuwa
ameruhusu sauti ya wazazi wake ambaye baba yake ambaye ni kuhani eti hivyo
chumba cha sauti cha Samweli hakikuweza kupokea mawasiliano kutoka kwa Bwana
mpaka amekubali huruhusu sauti ya Bwana na kuondoa sauti ya Eli Oh haleluya
najua kuwa mfano
huo wa Samweli
ulikusaidia sana kufahamu jambo hilo mabayo najaribu kuliweka wazi mbele zako
1 Kor 14:11 Basi nisipo ijua maana ya ile sauti nitakuwa kama
mjinga kwake yeye anenaye; naye anenaye
atakuwa mjinga kwangu.
Samweli aliposikia Sauti ya Bwana ikimwita
ukweli alikuwa kama mjinga kwake yeye ndio maana alienda kwa Eti Hii ni kwamba
yawezekana kuwa Mungu alikuwa anasema nawe lakini haukujua kuwa huyo ni Mungu
asemaye nawe Oh haleluya kwa Bwna Mungu.
1 Samwel 3:1 Basi mtoto
Samwel akamtumikia Bwana mbele ya Eti na neno la Bwana mbele ya Eli. Na neon la
BWANA
lilikuwa adimu siku zile;
hapakuwa na mafunuo dhahiri. Ikawa wakati Eli alipokuwa amelala mahali
pakete macho yake tayari yalikuwa yameanza kupofuka hata asiweze kuona na taa
ya Mungu ilikuwa bado haijazimika bado na Samweli alikuwa amelala katika hekalu
la Bwana palikuwa na sanduku la Mungu basi wakati huo Bwana akamuita Samweli
nae akasema mimi hapa.
Oo
haleluya kwa Mungu wetu ukiendelea kusoma hiyo habari utagundua kwamba sababu
kubwa kwamba Samweli hakuweza kuelewa sauti ya Bwana ni kwa sababu ndani ya
chumba chake cha sauti halikuwemo neno la Mungu ambalo ndilo hilo ambalo Bwana
Yesu alisema kwamba tena utaifahamu kweli na hiyo kweli itakuweka huru.
.
GUNDUA SIFA
KUU TAFUTA
TATU ZA
SHETANI SHETANI
1. Muuaji
2. Mwongo
3. Baba wa uongo
Yohana
8:43 Mbona hamu ya famo haya nisemayo?
Ni kwa sababu ninyi hamuwezi kulishika neno la Mungu. Ninyi ni wa baba yenu bilisi na tama za baba
yenu ndizo mpendazo yeye alikuwa muuaji wala hakusimama katika kweli ndani yake
asemapo uongo husema yaliyo yake mwenyewe kwa sababu yeye ni mwongo na ni Baba
wa uongo
shetani anazo sifa tatu kuu ambazo
mara nyingi sana lazima azitumie sifa kuu yake kwanza ni muuaji kwa maana
nyingine ni kwamba anauzoefu wa muda mrefu yeye kwa kazi yake ya kwanza kwa
maana nyingine yeye kuwa mtu kazi ndogo maana anao uzoefu wa muda mrefu,Leo hii
utakapoifahamu kweli ya Bwana yesu kristo hiyo ndio itakuweka huru.
Oo
Bwana Yesu apewe sifa sana,sikia iko hivi hata kama wachawi wamekutega irizi ya
kuaharibu maisha yako tayari Mungu ameona na amesema neno juu ya miasha yako
inawezekana kwamba mrefu maisha yako yamekuwa mashakani kwa sababu labda ya
wachawi amabo wanazunguka maisha yako katika jina la Bwana Yesu natabiri kama
nabii wa Bwana sasa mkono wa Bwana uko juu yao naweka utisho wa Bwana Yesu
katika jina la Yesu kristo jina lipitalo majina yote.
Natamani
nikushirikishe vile asemavyo Bwana juu ya wale ambao wamekuwa watesi wako juu
ya maisha yako nanikuambie kwamba huu ni wakati ambao watu lazima wajue kuwa
yupo Mungu Bwana wa majeshi pamoja nawe
Ezekiel
13:20-21. Basi Bwana Mungu
asema ivi; Tazama mimi ni kinyume
cha Irizi zenu, ambazo kwa hizo mnaziwinda roho za watu kama ndege, nami nitazitoa katika mikono yenu kwa nguvu;
.
Nami nitaziachilia roho zile mnazo
ziwinda kama ndege. Na leso zena nazo
nitazirarua, na kuwaokoa watu wangu katika mikono yenu,Wala hawatakuwa tena
katika mikono yenu Kuwindwa; Nanyi mtajua ya kwamba mimi ndimi Bwana.
Haijalishi
kwamba umewindwa na wachawi wangapi ndani ya maisha yako lakini Bwana wa
majeshi anasema kwamba lazima ataziachilia roho zote ambazo zimekuwa mawindoni kwa
muda mrefu sana hii ni pamoja na wewe upotayari Bwana akufungue sasa?
SEHEMU YA 4
USITAMNI
KUSIKIA JAMBO AMBALO
LITAKUHARIBIA
UHUSIANO WAKO NA MUNGU.
Kamaambavyo
nimekusha kusema hapo mwanzo yakwamba maisha ya mwanadamu yanaongozwa na sauti,
hii ni siri yaajabu sana ambayo wakati mwingine mwanadamu anaweza asijue,
lakini shetani anajua yakuwa kuna uponyaji mkubwa tena wa ainayake kwa
mwanadamu awaje yote anayesikia sauti ya Mungu katika maisha yake na ndiyo maana
maranyingi Adui shetani amekuwa akitumia sana eneo hilo la sauti kuharibu
mausiano kati ya mtu na Mungu lakini pia hata mtu na mtu.
Yako
mambo mbalimbali katika maisha yetu yakila siku ambayo kwa kadri tunavyo
yasikia ndivyo yanavyo zidi kutuharibia ukaribu wetu na Mungu, na hii nikwamba
maranyingi mwanadamu anafanana sana na vitu anavyokaa navyo katika maisha yake
ya kila siku, na jambo kubwa sana ambalo linaendesha maisha ya mwanadamu , kila
siku ni sauti ambazo amekuwa anazisikia katika maisha yake.
Katika
hili jambo ningependa ufahami ya kwamba hakuna jambo lolote ambalo mwanadamu
atatamani kuwa wa kwanza kuliona kabla ya kusikia habari za jambo husika pasipo
kujalisha uzuri wajambo au ubaya wa jambo lenyewe ndiyo maana huwezi kutamani
kufika kwenye tukio ambalo hujasikia habari zake.
Pia ikitokea umeona tukioambalo
hujasikia
habari zake maranyingi utapuzia tu,kunatofauti
kubwa sana kati ya harusi
ambayo ulisikia habari zake na harusi
ambayo katika kupita kwako ukaona tukio la harusi maranyingi utaona lakini
utapuuzia kwani hujui kwamba hiyo harusi ni ya nani,Ingawa zote ni harusi
tofauti yake ni kwamba harusi;
A: Unajua kwamba ni ya ndugu
flani.Lakini
Harusi B: Hujui ni ya nani, japokuwa zote zinaitwa harusi.
Oooh Bwana yesu asifiwe sana najaribu kutumia mifanao kadri Roho
mtakatifu anavyo nijalia ili upatekug’amua jambo flani kwa urahisi mfano
mwingine kunatofauti kati ya msiba ulio sikia habari zake na msiba uliopita kwa
bahati mbaya ukaona watu wanazika hiyo yote ni misiba lakini tofauti yake ni
msiba A. Ulisikia tena unamfahamu na B
hujasikia lakini umepita tu njiani ukaona watu wanazika.
Sasa
baada ya hapo ningependa tuende pamoja nawe tena katika hatua nyingine ambayo
itakupelekea kufahamu kwa undani maana yakipengele hichi kinacho sema usitamani
kusikia jambo ambalo linaweza kusababisha uhusiano wako kutetereka mbele za
mungu.
Ooh aleluya lazima ufahamu
kwamba utafiti unaonyesha kwamba habari zozote mbaya huenea na kusikika na watu
wengi zaidi kuliko habari njema.
Mfano wa vitu ambavyo vinaweza
kuharibu kabisa uhusiano wa mtu na mtu au na Mungu kwanza kabisa ni vyema
ijulikane kwamba mungu anapotaka kutoa taarifa flani Duniani pamoja nakwamba
anatumia malaika zake lakini ni lazima awapate watu wakushirikiana naye.
Luka
2:8-9 Nakatika nchi ile walikuwekowachungaji wakikaa makondeni na kulinda kundi
lao kwa zamu usiku. Malaika wa Bwana
akawatokea ghafla,utukufu wa Bwana ukawang’ari pande zote, wakaingiwa na hofu
kuu.
Hapo tuona mambo mawili au makumdi
mawili makuu. A: Tunawaona malaika wa
Bwana,
B Tunaliona kundi la wachungaji ambao
maandiko yanatuambia kwamba walikuwa wa kulinda makundi yao kwa zamu nini
ambacho najaribu kukueleza hapa ni kwamba pamoja na kuona Mungu ametuma malaika
lakini hawa malaika wasinge weza kufika kwa kila moja ndivyo maana Mungu akaona
vyema kutumia hawa wachungaji wa kondoo ili habari ziweze kuwafikia wote.
Ndio maana ni nyema fahamu kwamba jambo lolote
ambalo umewahi kusikia chanzo chake siyo binadamu ni aidha Mungu au shetani binada
mu yeye ni kama ajenti tu, watu wengi wanajikuta wamesikia jambo flani na
mahusiano yao yakaharibika na Mungu,
Baada ya wao kuhukumu ajenti ambaye ni binadamu na unapo hukumu mtu
ambaye yeye ni mjumbe tu Mungu anaamua kutokuongea nawe kwa sababu umekataa kusikia sauti yake
kupitia mtu,au mjumbe wake kabla hujafanya maamuzi yoyote kuhusiana na habari
uliyosikia fanya kwanza uchunguzi ili kujua chanzo cha hiyo habari watu wengi
wamejikuta wakigombana na Mungu baada ya kutokusikia sauti ya Mungu kupitia
mjumbe wake.
Katika
hayo maandiko ambayo tumetoka kuyatazama tuliona kwamba malaika walipofika
wachungaji waliogopa sana hii ni kwasababu walikuwa bado hajasema jambo lolote
nivyema ujue ya kwamba utakapo ona jambo bila kusikia hofu inakuingia
kutengeneza maana, sawa wachunga
walifahamu kwamba hao ni malaika lakini hawakujua kwamba wamefuata nini ndivyo
maana wachungaji waliona malaika lakini hakuelewa mpaka walipo sema nao kwa
kuwatoa hofu, Luka 2:10.Malaika akawambia, msiogope; kwa maana
nimewaletea habari njema ya furaha
itakayo kuwa kwa watu wote.
Kwahiyo
unaona kwamba malaika kwa kutambua kwamba wanadamu huongozwa na sauti wakaamua
kusema usiogope maana nimewaletea habari njema hivi leo amezaliwa mwokozi wenu
hapo ndipo wachungaji walipo jua sababu za hao malaika kuja Kwao Mungu ana
watumia watu kueleza jambo ambalo anapenda watu wake wajue na silazima Mungu
atumie mtu unayempenda kuwakilisha ujumbe wake kwako hata hiyo ufahamu kwamba
maranyingi Mungu hutmia kitu au mtu anayeonekana wakati mwingine kuwa mnyonge
sana hebufikiria kwamba mawaziri pamoja na waheshimiwa walikuwepo lakini Mungu
aliamua kupitisha ujumbe wake kwa wachungaji maana yake ni kwamba ili
usigombane na Mungu kubali kusikia sauti yake pasipo kumlazimisha Mungu atumie
njia unayopenda wewe hii imesababisha watu wengi kuto kusikia sauti ya Mungu.
maana wengi wangependa Mungu atumie vyanzo na
wanavyovipenda wao wenyewe na kwakua adui yetu shetani anajua kwamba watu
wanapenda hivyo ndiyo maana amekuwa akija kwako kwa njia upendayo wewe kumbuka
kwamba nilisha sema hapo nyuma ya kuwa mwanadamu anacho chumba kimoja tu cha
sauti maana yake lazima patakuwepo ushindani mkubwa dhidi ya ufalme wa Mungu
kwa maana ya kwamba Mungu anahitaji usikie sauti Yake,pia shetani naye anatamani
usikie yakwake.
Ndiyo
maana maranyingi napenda kusema kuwa watu wengi hupenda kusikia nakuona
maruweruwe, huwezi kuongozwa na Nabii halafu ukategemea kwamba usikie sauti ya
Mungu kwingineko isipokuwa hapo kwahiyo nabii au huyo mtumishi ambaye Mungu
amemsimamisha mbele yako kwa wakati huo watu wengi wanamwacha Mungu madhabahuni
wanaenda nyumbani kwao huku wakilia na kuomba kwamba eemungu naomba kusikia
sauti yako pia nione uso wako, wakati sauti na sura yake umeiacha kanisani au
madhabahuni kama wewe ni mtu wa hivyo basi tegemea kuona pamoja na kusikia
maruweruwe ya shetani sio ya Mungu maana sauti ya Mungu ni ya kueleweka ndiyo
maana anaingia gharama kuhakukusha anamwinua mtu mmoja ambaye atamsikizisha
sauti yake naye akisha elewa ndipo aende kusema na watu wengine ambao wao
hawakuwepo wakati Mungu anaongea na yule mtu wake.
Kutoka 3:2 Malaika wa BWANA akamtokea,
katika mwali wa moto ulio toka katikati ya kijiti; akatazama nakumbe! Kile
kijiti kiliwaka moto, nacho kijiti hakikuteketea.
tayari Mungu amekwisha sikia kilio cha
wana wa Israel pamoja na hayo ni lazima Mungu atafute Miongoni mwanao ni nani
ambaye anaweza kumsikizisha sauti yake ili apate kwenda kuwaokoa wana wa Israel kama ambavyo nimekwisha sema kusema
ya kwamba ili kusikia sauti ya Mungu unahitaji kukutana na mtu ambaye tayari
amesha sikia sauti ya Mungu na hii ndiyo maana Mungu alipoamua kusema na wana
wa Israel alimwandaa Musa ijapo kuwa yeye ni Mungu ambaye anaweza mbambo yote lakini
aliona afanya ushirika na Musa kwanza na
kujitambulisha kwake ili Musa aweze kumfahamu vyema kabla haenda kwa wana wa
Israel.
Bwana Yesu apewe sifa asna unaanza kwanza
kuomba pamoja na kuwa Mungu ni muweza mambo yote lakini hakuna mahali unaweza
kuona akifanya jambo lolote bila kushirikisha Mwanadamu ndiyo maana nilisema
watu wengi wanamuacha Mungu madhahuni waenda kupiga magoti nyumbani kwao
wakiomba kusikia sauti ya Mungu.
Kutoka
2:24-25 Mungu akasikia kuugua kwao,Mungu akakumbuka agano lake alilolifanya
na Ibrahimu na Isack na Yacobo. Mungu akawaona wana wa Israheli, na Mungu
akawangalia.Maadniko
yanasema ya kwamba mungu akasikia kuugua kwa wana Israel na pia akaona hapa
napenda uone kwamba kwa nini Mungu hajataka kuona kwanza kabla ya kusikia?
Ni kwa sababu tangu hapo mwanzo tumekwisha
sema kwamba mfumo mzima wa mwanadamu unaongozwa na sauti, ndiyo maana
kilichopelekea Mungu kuanza na kuangalia ni sauti ya kuugua kwa wana wa Israhel
ndicho kilicho sababisha Mungu kutazama tu, lakini ni baada ya kusikia sauti ya
kilio
Katika kurasa zilizopita tuliona ya
kwamba maandiko yanasema yamkini duniani kuna sauti za aina nyingi maana ya
neno yamkini “inawezekana” na kila sauti unayo isikia ina maana yake
ikitokea kwamba umesikia sauti na hujajua maana yake haimanishi kwamba ile
sauti haina maana bali wewe umekuwa kama mjinga kwake anaye nawe.
Kutoka 6:4 Tena
nimethibitisha agano langu nao, la kuwapa nchi ya kanaani nchi ya kukaa kwao
hali ya ugeni. Hapo ndani ya
hayo maandiko tunaendelea kujifunza pamoja na kuona ya kwamba Mungu asema ya
kwa tayari amedhibitisha agano lake kwa wana wa Israel lakini point yangu
inakuja hapo katika mstari wa 5 na
ziadi ya huyo nimesikia kuugua kwao wana wa Israel nami nitawaokoa na utumwa
wao nami nitawakombo kwa mkono ulionyoshwa na kwa hukumu kubwa,
Tunaona jinsi Mungu anavyo siitiza
kwenye kusikia kuliko kuona ndiyo maana anasema zaidi ya yote “above all” kwa
maana hiyo sasa ni vyema kutambua ni sauti ya namna gani imesikiwa zaidi katika
maisha yako.
SEHEMU YA (5)
KILIO CHA MWANADAMU KUSIKIWA NA MUNGU:
Hata
hivyo pamoja na kuwa kilio kinaonyesha kwamba mtu anayelia anahitaji msaada
lakini bado kilio peke yake hakitoshi kusababisha mtu anayelia kupata msaada
wakati mwingine kuongeza matatizo kwa hiyo mwanadamu anayelia kwa maana nyngine
inategemea unalia juu ya nini?
Mfano watu wengi wanapokuwa kwenye
shida wachukua hatua ya kumlilia Mungu amesha sikia kilio chako na pia
inawezekana amesha jibu ila wewe kwa sababu ya shida nyingi umeshindwa kujua
kama shida au kilio chako kumefikia mbele za Mungu hii ni kwa sababu watu wengi
hawajui namna ambayo Mungu anajibu maombi au kilio cha watu wake, na kwa bahati
mbaya sana huwezi kulazimisha Mungu asikie na kujibu maombi yako kwa namna
unayopenda wewe na pia kumbuka kwamba Mungu
hajibu mtu kwa sababu ya wingi wa shida zake au mateso yake lakini kwanza je
kati ya hao waliao kuna menye agano?
Katika watu hao waliao au je pana mtu
kati ya hao waliao mwenye agano na Mungu? Mara nyingi napenda kutumia msemo
usemao Mungu hatishiwi na shida anaangalia agano lake katika maisha ya mtu
husika au hata kwa baba zako au babu zako maana yake ni kwamba je? Katika uzao
wenu yupo mtu mwenye agano na Mungu? Au hayupo nawe umeendelea kulia pasipo
bila majibu yoyote?
Najua ya kwamba hapo nyuma tulipo toka
tuliona kwa Mungu alisikia kilio cha wana wa Israeli sababu za Mungu kusikia
kilio cha wana wa Israel pamoja na kuwa wana Waisrael walienda Misri kwa sababu
njaa kilikuwa na agano la kimungu juu ya safari yao.
Mwanzo 46:1—Akasafiri Israel, pamoja
na yote aliyokuwa nayo akaja Beer—sheba akamchinjia sadaka Mungu wa Isaka
babaye Mungu akanena na Israhel katika ndoto ya usiku akasema Yakobo, Yakobo
akasema mimi hapa. Ukiendelea mpaka mstari wa 7 unaona ya kuwa Israel Mungu
anaweka agano naye ya kuwa atashuka pamoja naye mpaka Misiri lakini
`utamrudisha tena katika nchi ile aliyokuwa amewahidi babaye isaka na Ibrahimu.
Israeli hakua wanalia kilio kutupa
badi kilio ambacho wanajua ya kuwa Mungu aliwaahidi kuwatoa hapo walipo kuwa
kwenye mateso hayo ya wa Misri hivyo kwa lugha nyingine walikuwa wanamkumbusha
Mungu ahadi zake juu yao ndiyo maana napenda kusema kwamba hajibu maombi kwa
sababu pana mtu anayelia Mungu anajibu kwa sababu kuna agano lake juu ya mtu
anayeomba.
sasa kumekuwa na shida nyingi juu ya watu wanaomba
katika siku hizi maombi yetu yamegeuka kelele mbele za Mungu maana wazazi wetu
hawakuwa na maagano na Mungu bali familia nyingi zetu zina maagano ya waganga
wa jadi pamoja maagano ya kishirikiana na kwa sababu hiyo watu wamejikuta
wakiteseka sana bila msaada wa Mungu ni kwa sababu ya mfumo Fulani mbovu ambao
haumpi Mungu utukufu na Mungu hafanyi jambo lolote bila kutarajia utukufu wake
kurudisha kama mtu anateseka na ugonjwa Fulani atapita kwingi akitafuta uponyaji
mara hospitali kwa waganga wa kienyeji akiona imeshindikana ndipo anaamua
kusema aacha! Labda tu mpeleke akaombewe kwa hiyo watu wengi waliombewa ni kana
kwamba wamemfanya Mungu kuwa ziada sasa yeye ni Mungu mwenye wivu,katika hali
hiyo utaomba na kulia sana Mungu hawezi kusikia wala kujibu maombi yako maana
pamoja na kwamba kimwili unaonekana unalia lakini moyo wako unaonekana Kwamba
Mungu kwako ni ziada nivyema mpendwa ujue kwamba Mungu ni roho na tena yeye
anawatafuta wale wamwabuduo yeye kutoka roho.
Na kwahiyo
Yeye anajua kuwa wewe umempa nafasi ya ngapi katika moyo wako,watu wengi huja
makanisani kuombewa huku wakitoa nadhiri nyingi za uongo mbele za watumishi wa
Mungu, mfano mimi nikipona nitajenga kanisa lakini anapotamkiwa tu neno la
uponyaji na akiona kwamba tayari ameshapata nafuu basi haonekani tena kanisani
kumbe Mungu alikuwa akimjaribu mara ugonjwa unamrudia tena kwa kasi zaidi ndipo
wengi wanachukua hatua ya kuhama kanisa kumbe tatizo hapo siyo kubadilisha
madhabu tatizo ni kwamba Mungu kwako ni ziada.
Ni maombi
yangu ya kwamba utoke kwenye kundi linalo mfanya Mungu kuwa ziada mpaka kundi
ambalo mungu kuwa ni kimbilio na nguvu.unaweza kufanikiwa kumdanganya mchungaji
Kwamba umeacha
ushirikina lakini kumbuka ya kwamba Mungu wa mbingu anaona kila mahali naye anakusubiri
tu siku utakapo ingia kwenye agano aanze kujitukuza kwako.
Yohana 4:23 lakini saa inakuja nayo
sasa ipo ambayo waabuduo halisi watamwabudu baba katika roho na kweli kwa maana
baba anawatafuta watu kama hao wa mwabuduo.
Ndani yahapo maandiko yanena ya kuwa
siku utakapo anza kufanya ibada zako katika roho ndipo utakapo kuwa halisi
mbele za mungu aliye hai lakini hakuna jinsi unawenza kuwa halisi mbele ya za
mungu ikiwa bado mungu kwako ni ziada.
SEHEMU YA 6 MADHARA YA KUTOKUSIKIA SAUTI YA
MUNGU
Kutoka 6:9 musa akawaambia wana wa
Israeli maneno hayo lakini hakumsikiliza musa kwaajili ya uchungu wa moyo na
kwaajili ya utumwa mugumu
Bwana yesu
apewe sifa sana hapo ndani yahayo maandiko tunajifunza pamoja na kuona jinsi
ambavyo wana wa Israeli walivyo kataa kusikia sauti ya Mungu kupitia musa
mtumishi wake kama ambavyo katika kurasa zilizo pita tulijifunza pamoja na
kuona yakuwa Mungu husema na watu wake kupitia mjumbe wake ingawa pia anaweza
kusema nawe moja kwa moja kupitia ndoto lakini maranyingi hupitia watumishi
wake.jambo la kushangaza hapo ni kwamba wana wa Israel wanamwomba Mungu awatoe
kwenye mateso naye ameamua kuja kwa kupitia mtumishi wake lakini tena wanakataa
kusikia yake
Mara nyingi
nimeona tatizo kubwa la watu kutokusikia sauti ya Mungu kwa sababu mbalimbali
ikiwepo uchungu wa moyo dhambi na hali ngumu ya maisha ndiyo maana watu wengi
sana leo makanisani maombi yao mengi huambatana na machozi hii ni kwasababu ya
uchungu wa moyo pia na kukosa tumaini juu ya maisha huku wengine wakisema Mungu
sema nami naye akisema wanashindwa kujua kwamba ni yeye anasema kupitia musa.
Jifunze kumtambua Musa ambaye
Mungu amemuiwa kwajili ya kukutoa misiri
Musa anaweza kuwa mtumishi wako, wazazi wako Bosi wako Rais wako mume au mke
wako kitu chochote ambacho kunakutoa katika hatua Fulani kwenda nyingine katika
lsuala zima ;a ukombozi wako basi hicho kitu au hiyo mtu anaweza kuwa musa
wako.
Kumbukumbu la torati 28:1 – 5 ikiwa utakapoisikia sauti ya Bwana, Mungu
wako kwa bidii ndani ya hayo maandiko tunafunza pamoja na kuona kitu kiitwacho badii
maana yake ni kwamba katika Kilaja jambo ambalo unajaribu kutaka mpenyo wake
kabla hujaanza kulifuatilia ujue kwanza Mungu anasemaje, ndiyo maana ya kusikia
sauti ya Mungu kwa bidii leo ukisikiliza maombi ya watu wengi hawaombi kusikia
sauti ya Mungu bali wanaomba kuona maono ni sawa, sisemi kwamba kuona maono ni
dhambi ili unaweza kuona maono lakini unabaki tu kushangaa, kutoka 3:2
unaona ya kuwa malaika wa Bwana
amemtoka Musa na katika Mstari wa tatu Musa anatambua kwamba hayo ni maono naye
aligeuka ili kutazama hayo maono alichoombulia hapo ni kushangaa kijiti
kinawaka moto nacho hakiteketei baada ya Musa kusogea pale Mungu akatambua yuko
tayari kusikia sauti yake ndiyo hapo unamwona Mungu anamwita Musa naye akasema
mimi hapa Mungu aksema kwamba vua viatu
vyako maana mahali hapo uliposimama ni patakatifu Ooo Bwana Yesu asifiwe sana
watu wengi wanapoona maono wanaishia kushangaa tu maana maono bila sauti ya
Mungu ndani yake hule hali ya sinto fahamu.sasa mpendwa msomaji wangu maono
bila sauti ya Mungu ni sinema isiyo na sauti ni sawa ya kwamba uangalie sinema
nyumbani kwako ambayo haina sauti hebu fikiri Musa kama asingesikia nsauti
angekuja kuwaambia nini Wana wa israel? Unadhani
angewaambia tu ameona kijiti kilicho waka moto nacho hakikuteketea je
wangemwelewa? Wasinge mwelewa ndiyo maana Mungu akaongea leo matatizo mengi
kwenye kanisa la Mungu duniani kwa sababu wengi wanahitaji kuona laki hawasikii
jambo.
shetani amegundua kwamba wetu wengi wanapenda kuona ndiyo maana ndoto
nyingi za kutisha zimetokea mara mtu anaota kikimbizwa mara anaota anakula nyma
mara anatoekewa na mtu anafanya na mapenzi kwa njia ya ndoto yote hayo ni baada
ya shetani kugundua kwamba watu wengi wa kizazi hiki wanapenda ndoto maana ni
kizazi kilicho potoka.
Mwaka 2013
/3/Mungu alimtuma kuongea na kanisa lake katika nchi ya Burundi alinionyesha
madhabahu yake Burundi nami nikaona mwana kondoo amesimama madhabahuni masikio
yake yameinamishwa yakafungwa kabisa na mdomo wake umefungwa lakini macho yake
yanaona ndipo
Bwana
akaniambia liambie Kanisa langu la Burundi lifungue masikio yake ili lipate
kunisikia haikuwa
kazi Raisi
kusema na maskofu pamoja na wachungaji wa nchi ile maana kwanza mimi ni mgeni
lakini pia wao wanaamini kwamba wako sawa mbele za Mungu wewe ambaye umepata
neema ya kusikia sauti ya Mungu utapata shahuku ambayo siyo ya kawaida
kabisa,Kwani kuna Baraka iwapo utasikia sauti ya Mungu vinginevyo unaweza
ukajikuta unaendelea kuteseka wakati kumbe Mungu ameshaongea na mtumishi wake
juu ya shida yako.Ni vyema leo ukafahamu kama katika maisha yako Msaada wako uko
wapi acha kuteseka Mungu ameshaongea juu ya taabu yako katika jina la Yesu
kristo wa azareth.
Pokea mlango wa
kutokea sasa katika hiyo Misiri yako ambayo umekuwepo hata sasa kupitia kitabu
hiki Mungu anaongea nawe na ni maombi yangu kuwa utaelewa ya kuwa ni Mungu
anaongea nawe kupitia maandiko haya na uchukie hata ya imani sasa kutamani
kusikia kwa bidii sauti ya Bwana Mungu wako.
Watu wengi
hivi leo wanapata shida mbalimbali kwa sababu tu, kuna siku Mungu aliongea na
wewe lakini hukuweza kujua kwamba ni Mungu ,kuna wakati unaweza kujikuta
ukifanya kazi bila mafanikio kwa sababu
nilikwisha sema nyuma kwamba Mungu anatumia watu flani kufikisha ujumbe wake
ndani ya maisha yako
Luka 5:3-5 akaingia
katika chombo kimoja ndicho chake Simon,akamtaka akipeleke mbali kidogona
pwani.akaketi,akawafundisha makutano ali chomboni.hata alipokwisha kunena
,alimwambia Simoni tweak mpaka kilindini ,mkashushe nyavu zenumvue
samaki.Simoni akajibu akamwambia Bwana mkubwa tumefanya kazi ya kuchosha usiku
kucha tusipate kitu ;lakini kwa neno lako nitashusha nyavu
Simoni
anajua faida za kutii sauti ya Mungu ndio maana pamoja na kwamba alifanya kazi
hiyo ya kuchosha usiku kucha lakini kwa neno la Bwana alikubali kushusha zile
nyavu zake ,na tunaona jinsi samaki walivyo jaa nakutia moyo kwamba haijalishi
upo katika hali gani lakini kama leo ukisikia sauti ya Bwana Yesu maisha yako
yata badilika kabisa.