Apstle and prophet Patimo visted uganda for a powerfully crusade






















as the ministry we thank God almighty for his Glory and awesome power upon his servant because his has empowered him his anointing so that hi may be able to preach the good news of the Kingdom and set free those who are bound and pressed down with the demons spirit ,and we are going to the end of this year we pray that may God continue to use him mightily amen       














UAMUSHO MKUU KUTOKE TANZANIA ULIO GAWANYIKA MARA 3

Tarehe 31/1/205 saa tisa alfajiri nilipokuwa katika Roho mtakatifu macho yangu ya roho yalifunguka nami nikaliona kanisa la Bwana katika nchi ya Tanzania likiwa katika hali ya ukiwa na kujikunyata kanisa amabalo limesinyaa kanisa amabalo halina mamlaka kabisa,nikiwa katika hali ya kuendelea kulitazama kanisa Bwana akaniambi lete mkono wako nami nilipofungua kiganja changu cha mkono akaniwekea vitu viwili vidogo vyenye mfano wa vidonge vya priton kisha akaniambia kunja kiganja chako  halafu tembea

Nilipoanza kutembea vile vitu viliwaka moto ndani ya mkono wangu naye akasema kaza mwendo nilipo kaza mwendo navyo vikazidi kuwaka zaidi akaniambia kwa sauti kuu kimbiiaaa nilipokimbia vikalipuka mlipuko mkuu katika mkono wangu naye akaniambie mwaga huo moto katika ardhi ya Tanzania nami nikafanya hivyoo,akaniambia huu ni uamusho mkuu unakwenda kutokea kwa mkono wangu mwenyewe ni uamusho ambao hapana mtu yeyote awezaye kuubeba kwa mkono wake isipokuwa ni kwa mkono wangu mwenyewe .

Baada ya hapo niliendelea kutembea katika njiaa hiyohiyo ya kanisa ndipo nikaona uamusho wa pili ambao ni uamusho wa uponyaji wa magonjwa sugu ,Bwana akanionyesha kwa mfano wa kapu kubwa sana lililo jaa aina flani ya matunda ukitaza kwamfano wa kibidamu yanafanana na machungwa lakini ni makubwa sana akaniambia chukua ule nilipochukua hayakuwa na ladha yoyote mwanzoni hivyo sikumaliza nikatupa inje ya lile kapu akaniambia chukua jingine ule nami nilipochukua nikaanza kula kwambali nilihishi ladha flani mdomoni mwangu baada ya hapo akanimbia huu ni uamusho wa uponyaji wa magojwa sungu na tena amelikumbuka kanisa na watu masikini ambao hawana pesa za kufuata tiba katika inchi za mbali yohana 6:30 .

 Nilipo endelea mbele kidogo nikama nilishuka katika bode flani nami nikakuta mvua kubwa sana  nabaada ya hiyo mvua nikaona majengo makubwa sana ya kuabudi na tena nikaliona kusanyiko kuu likiabudu Mungu katika Roho na kweli na katika uweza mkuu wa Mungu .

Nabii patimo www.trbimtz.org






KIJUE CHUMBA CHAKO CHA SAUTI


NA NABII PATIMO DK
UTANGULIZI:
Awali ya Mambo yote kabisa napenda kufahamisha mpendwa msomaji wa kitabu hichi kuwa huu ni ufunuo ambao Mungu mwenyewe amependa kunifunulia ili kuliponya kanisa lake, kwani watu wengi wanapata shida kubwa sana wanaposhindwa kuisikia sauti ya Mungu kwa sababu ya kutokujua mfumo huu wa chumba chacko cha sauti.

watu wengi wanadhani kwamba lengo la Mungu kutupa uwezo wa kiufahamu (akili) ni kwajili tu ya maisha ya mwilini tu’lakini kupitia kitabu hiki ujifunza pamoja na kufamu kwamba tulipewa akili kwa lengo la kurahisisha mawasiliano yetu na Mungu wetu kwamfano wakati Mungu anamwita Nabii Musa kwa wasomaji wa maandiko matakatifu wanafahamu kwamba Musa hakuwa rohoni bali kilichotumika kama muunganiko wa musa na Mungu ni ufahamu wake
kutoka 3:2Malaika wa Bwana akamtokea,katika mwali wa moto ulitoka katikati ya kijiti;akatazama,na kumbe!kile kijiti kiliwaka moto,nacho kijiti hakikuteketea.

Katika maandiko hayo tunaona kwamba pamoja na kuwa Mungu alihitaji kuzungumza na Musa lakini ilikuwa inategemea sana ufahamu na maamuzi ya akili yake juu ya kijiti kinachowaka moto na kisiteketee na ndio maana baada ya kutambua ndani yake kwamba hichi siyo kitu cha kawaida akageuka na ndipo Mungu akasema naye hii ndiyo sababu nilisema hapo nyumba kwamba tulipewa akili ili zitumike kama chombo muhimu cha mawasiliano baina ya mwanadamu na Mungu kwa lugha nyingine tungesema kwamba Mungu alitaka kurahisisha kazi ya kusema na wanadamu.

(a) Ndani ya mwanadamu yeyote alieumbwa na Mungu awe na akili timamu au hata kama akili zake haziko timamu ila ilmradi anaishi.
        Basi ndani yake kuna chumba kikuu ambacho kazi yake ni kutengeneza sauti mbali mbali ndani ya huyo mtu,
 Jambo muhimu ambalo nataka kukufahamisha ni kwamba Ingawa chumba kikuu ni kimoja lakini kinaweza kutumiwa na watu wawili kwa wakati mmoja jambo ambalo limekuwa likileta shida kubwa sana ndani ya kanisala Bwana na hii ndio maana Mungu ameachilia ufunguo huu ndani yangu kwa lengo la kuliponya kanisa lake Tanzania  na Duniani kote.
(B) Ndugu mtu wa Mungu ambaye Mungu amekupa kusoma Kitabu hiki, kitabu ambacho kwa hakika naamini kitakuwa msahada mkubwa kwa watu wote wa jamii ya waaminio na itakupa urahisi wa masiliono kati ya Mungu na kanisa lake hatahivyo ni muhimu kuomba kabla hujachukua hatua za kusoma kitabu hiki ili upate ufahamu wa ndani zaidi juu ya haya na nimaombi yangu kwamba mausiano yako na Mungu yatakuwa imara sana na maisha yako hayatabaiki jinsi yalivyo sasa katika jina la Yesu wa Nathazert itikia kwa sauti kubwa aimen.

Na inawezekana kabisa hujaokoka ikiwa kwa hiari mwenyewe ungependa kuoka leo basi neema ya Mungu iokoayo wanadamu wote bado iko wazi kwako chukua atua ya imani sasa kuomba sala hii fupi ya Toba.

Eee Bwana Yesu anakuja kwako leo nimejitambua kuwa mimi ni mwenye Dhambi Bwana naja kwako kwa njia ya damu yako uliyoimwaga pale msalabani inenayo mema ikaneneka mema kuanzia leo hii,nina tubu dhambi zangu zote nilizofanya kuanzia mwanzo wa maisha mpaka leo futa majina yangu katika kitabu cha hukumu nakuomba andika majina yangu latika kitabu cha uzima wa milele tangu leo mimi ni mwana tena mimi ni raiya serikali ya Ufalme wa mbingu Amen.
!
Ndugu yangu mpendwa baada ya hiyo sala wewe ni raia wa Serikali ya Ufalme wa mbinguni tangu leo Bwna Yesu amekusamehe dhambi na makosa yako yote
 Oo haleluya Kwa Bwana Mungu sasa kaa vizuri kujifunza na kufahamu kwa undani zaidi kuhusu chumba kikuu cha sauti kwa lugha ya Kiingereza ni Sound Enginering room.

(1)  MWANZO WA CHUMBA SAUTI

 Sehemu ya kwanza,siku ile ambayo mwanadamu anapozaliwa kitu cha kwanza kabisa ambacho kinafanyika kwake ni cha ajabu sana kwani baada ya kuzaliwa mawasiliano ya kwanza huwa ni kwenye chumba kikuu cha sauti Oh haleluya kwa Bwana maana yake tangu siku uliyozaliwa ulipewa ufunguo wa chumba chako cha asati siri hii huifahamu sana kwa ndani madaktari kwamba motto anapozaliwa tu’kitu cha kwanza ni lazima alie Oh haleluya  na asipo lia madaktari watafanya kila liwezekanalo kumliza huyo motto kwanini wanafanya hivyo?.

nikwamba maisha ya mwanadamu huwa yanaongowa za sauti chochote kinacho fanyanyika duniani mwongozo wake ni wa sauti kwa mfano unaweza kuwa ndani ya chumba na mwinge akawa chumba kingine na Yule wa chumba kingine akapiga makofi japokuwa wewe hujamwona akipiga makofi lakini kutokana na sauti uliyoisikia utafamu kwamba huyu mwenzangu anapiga makofi,unaweza kuona kitu halafu usikifahamu lakini nivigumu kuisikia sauti flani halafu ukashindwa kuifahamu .

1Wakorintho 14:10 yamkini ziko sauti za namna nyingi duniani, wala hakuna moja isiyo na maana .11 Basi nisipoijua maana ya ile sauti nitakuwa kama mjinga kwake yeye anenaye; naye anenaye atakuwa kama mjinga kwangu.

 Katika hayo maandiko tunajifunza pamoja na kuona Duniani kuna sauti za namna nyingi kila sauti huwa ina maana yake kamili
Ingawa wewe mwenyewe unaweza
Usifahamu kabisa maana yake nini lakini hakuna
Sauti ndani ya mwana damu ambayo haina
Maana.ufunuo huu utakuwa ni msaada mkubwa ndani ya maisha yako Oh Haleluya kwa Bwana Jambo muhimu sana ambalo naomba ukumbuke ni kwamba duniani ziko sauti nyingi mbali mbali

Ni vema ufahamu kwamba katika maisha ya mwanadamu kitu ambacho kinanafasi kubwa ni sauti kwa mfano unapotaka kuwa tayari ndani yako kuna kuwa na sauti ya utajiri ndipo wazo linakujabaada ya wazo ni imani baada ya imani kitu kinachofuata ni picha Oh Haleluya kwa Bwana.

 Sasa ugundue kwamba maisha ya mwanadamu Kwa sehemu kubwa yanafanikiwa kutokana Na jinsi anavyo weza kusiliza na kufahamu sauti ya yeye anenaye sijui kama umewahi kujiuliza kwa nini mtu anapoombewa halafu akandelea kuwa na tatizo lile kwa mda mrefu baada ya kuombewa pamoja na kwamba anaamini kwamba Yesu ni mponyaji maana yake ni kwamba katika chumbachake cha sauti lile tatizo limeshatengeneza sauti kwahiyo ili apokee uponyaji ni lazima aruhusu sauti ya Yule mtu mishi wa Mungu ambaye anafanya maombi,kwajili yake badala yake yeye ndani yake ana ile sauti ya dactari ambaye alimwaambia kuwa anashida Fulani ndani yake.

        Ezekiel 2:1-4 Akaniambia mwanadamu
simama kwa miguu yako, nami nitasema nawe.2naye aliposema name,roho ikaniingia, ikanisimamisha;nikamsikia yeye aliyesema nami.

    Katika hayo maandiko tunaona Nabii Ezekiel akisema kwamba naye alipo sema nami roho ikaniingia maana nikwama nyuma ya nene kuna nguvu na nyuma ya nguvu kuna Roho. Hii ina maana kwamba unapoambiwa kuwa una shida Fulani hilo ni neno na baada ya kutamkwa linaenda moja kwa moja hadi kwenye chumba chako cha sauti.

Mfano neon (ukimwi) hilo ni neno ambalo halitoshi kuleta ugonjwa lakini nyuma ya hilo neno kuna nguvu ya hilo neno na nyumba ya hiyo nguvu kuna roho ya ukimwi

na pia kuna Roho ambayo itahakikisha inatengeneza kusudi la hilo neno ambalo umetamkiwa pale mfano ubarikwe, ubarikiwe ni neno lakini nyuma ya hilo neno kuna nguvu Fulani ya Baraka na nyuma ya hiyo Baraka kuna Roho ya Baraka ambayo utahakikisha kwamba unabarikiwa sawasawa na lile neno ambalo umetamkiwa.

  mtu anakuwa na sauti nyingi ambazo zimerekodiwa kutokana na tatizo alilonalo kwa nakumuka Mama mmoja akaniambia kwamba mtumishi wa Mungu mimi nasmbuliwa sana na Presha pia na kisukari Wakati ananiambia hayo moja kwa moja nilimtazama kwa macho ya kinabii nikaona kuwa ndani yake tayari chumba chake cha sauti kimesha rekodi huo ugonjwa kwa hiyo inabidi Yesu aingilie kati katika chumba cha sauti kukiondoa kile kilichorekodi na kuweka kingine kipya kwa kuwa ningemtakia neno la uzima wala asingepokea muujiza wake kwani tayari ndani yake kumerekodiwa sauti ya Doctari aliyempima na kumwambia kwamba ana sumbuliwa na tatizo la ugonjwa wa presha na kisukari.

Kwa lugha nyingine tunasema kwamba kwenye chumba chake hakukuwepo nafasi ya kupokea hilo neno la uzima ambalo ningemtamkia kwa hiyo ilibidi nimfundishe kwanza kuhusu Bwana wa uzima ufute hiyo Mpangilio wa kizamani ili aweze kupewa chumba kipya cha sauti ya uzima inayosema uwe mzima na akawa mzima oh Bwana Yesu apewe sifa. Kumbuka kwambakwa kila neno nyuma yake kuna nguvu na nyuma ya hiyo nguvu
Kuna Roho.

   Rumi 8:1-2 Sasa, basi, hakuna hukumu ya adhabu juu yao walio katika Kristo Yesu. Kwa sababu sheria ya Roho wa uzima uleuliokatika  Kristo Yesu imeniacha huru, mbali na sheria ya dhambi na mauti.

hapo utajifunza na kuona kwamba
hapo kuna sheria ya Roho wa uzima na hizo sheria ni
kwamba unaposikia sauti kutoka kwa mtumishi wa
mungu ambaye Mungu  amemuinua mbele
yako anapokutamkia neno la uzima aamini kwamba ni
mzima

Eb: 11: 6 lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza;kwa mtu amwendeaye Mungu lazima aamini yeye yuko,na kwamba huwapa huwapa thawabu wale wamtafutao

yeyote amwendeaye Mungu lazima aamini  yeye yupo hiyo ni mojawapo ya sheria ya Roho wa uzima kwamba pamoja na kuwa bado anajisikia kuumwa ila kwa sababu kuna  sauti ya Mungu kupitia mtumishi wake ilisema kwamba nimepona, basi naamini  kwamba nipo na katika jina la Yesu.

 kwa hiyo kiruhusu mabadiliko ndani ya sauti achana na sauti ambazo zilikuwa zinakuhubiria kabla hujakutana na neno la uponyaji Oh halleluya kwa Bwana nakuahidi katika jina laBwana Yesu kwamba endapo leo utaruhusu Bwana aingie katika chumba chako cha sauti hakika hauta kuwajinsi iliyokuwa kabla
ya kuruhusu Yesu ndani ya chumba cha sauti.

Ufunuo 3:20 Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kufngua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami.

Tamani uonane kwamba Bwana yesu leo anasimama katika mlango wako anabisha kitu cha muhimu ni wewe tu kusikia sauti ya Bwana na baada ya kusikia utafungua ili aingie ndani yako nawe ndani yake ndio maana nimekuambia kwamba Bwana Yesu akiingia kwako hautabakia kama ulivyo kwani ataanza kukuza ba kuondoa sauti zingine za magonjwa na kila namna ya kushindwa ndani ya maisha yako Oh haleluya kwa Bwana Yesu hivyo kaa tayari kumruhusu Bwana afukuze sauti zingine mbaya ndani ya maisha yako Amen! Oh Bwana Yesu apewe sifa. Hii itakusaidia kwamba unapoamua kumruhusu Yesu aingie ndani ya chumba tayari anawafukuza wale matapeli wengine ambao walikuwa wanazalisha sauti nyingine katika chumba Chako cha sauti. 

.  Mathayo 6:6 Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini atakujazi.

kuingia Katika chumba chako cha sauti chumba hicho ambacho Yehova Bwana anazungumzia ni juu ya chumba chako cha kutengeneza sauti kwani  ni ukweli kwamba huwezi kuomba mpaka upate kufunga milango mingine ambayo ili kuwa wazi kabla ya kuingia kwenye maombi kwa mfano labda umetokea sokoni kuja kwenye maombi sasa unapokuja haujajua kwamba kuna kuna chumba ambacho una takiwa kufunga mlango basi wewe utaingia kuomba maombi yako yatakosa mwelekeo maana ndani yako bado sauti za sokoni zinasikia ndani yako ndio maana BwanaYesu ametoa mwelekeo wa maombi.






SEHEMU YA PILI

IJUE SAUTI YA (1) NA MAANA YAKE:



Ayubu 5:7 Lakini mwanadamu hazaliwi ila apate mashaka, kama cheche za moto zirukavyo juu. 
  Ufunuo huu utakusaidia wewe, wanao, na waju
kuu pia Oh, haleluy Mtoto mdogo anapozaliwa ana atia ileile
ambayo tayari maefuka dunia ni tayari unakuwa na
kitu kinachoitwa mashaka kwa sababu ameingia
nchi nyingine ambayo si salama.

Maana kumbukumbu kwamba yeye nchi aliyotoka
ni salama kabisa hivyo kitendo cha yeye kufika
duniani naona kwamba kuanzia ile tarehe
amezaliwa hadi mwisho wa maisha yake atakuwa si
salama Oh haleluya kwa Bwana.

Kwa mfano labda kama familia yake imegubikwa na
Roho ya umasikini basi yule mtoto anapozaliwa
anaona namna ya kukabiliana na yale mapito ya
kimasikini kwani bado hapo ndani ya familia yake
kwani alikotoka mambo hayo hayakuwepo hata
kidogo, kwani ile tunaita ni nchi takatifu ya Bwana
mwenyewe Amen! Hivyo mtoto anapolia fahamu
kwamba anajaribu kutafuta njia mbadala ya
kujiepusha na mambo magumu au mazito ambayo
atakabiliana nayo maishani. Ninataka nikushauri
kwamba uwe na tabia ya kuomba  juu ya wanao
kila mara hivyo fahamu kwamba watoto wanaona
kila kinachokuja kwa ujumla sauti ya kilo ni hali ya ugumu ambayo mtoto atapitia ndani ya safari ya maisha yake.

Amen Bwana Yesu apewe sifa sana najua ya kwamba
mpaka hapa ambapo tumekwisha kufika pamoja nawe
kwa habari za  chumba cha kusafishia sauti kama
nilivyo kusema kwamba maisha yote ya mwanadamu
yametawaliwa na sauti kama ambavyo maandiko
yanasema katika 1 wakorintho 14:10 –11Ya mkini ziko sauti zanamna nyingi duniani, wala hakuna moja isiyo na maana.  11 Basi nisipoijua maana ya ile sauti nitakuwa kama njinga kwake yeye anenaye; naye anenaye atakuwa mjinga kwangu.
   Oh haleluya kwa Bwana Mungu mweye nguvu ndugu
yangu naomba mungu akufikishe mahali ambapo un
aweza kugundua sauti ya yeye anenaye ndani yako kwa
maana kama hajajua yeye anenaye kwako ni nani uta
kuwa mjinga hivyo ni muhimu kumfahamu yeye anenaye
nawe Jinsi ya kufahamu yeye anenaye nawe,

 Yohana 10:16 Nakondoa wengine  ninao, ambao si wa zizi hili; 
Na hao nao imenipasa kuwale; na sauti yangu
Wataisikia; kisha watakuwa kundi moja na
mchunagji mmoja.

 Oh haleluya napenda
ufahamu tu kwamba jinsi ambavyo utafahamu sauti
inayoita sana ndani yako inategemea kwamba wewe ni
kondoo wa kundi gani?  Maana neno la Mungu linasema
kwamba kondoo wanaijua sauti ya mchungai wao hivyo
kuifahamu sauti ivumayo ndani yako inategemea kwamba wewe ni wazizi gani wewe umefanyika mwana
wa Mungu basi ufahamu kwamba sauti ambazo
utakuwa unasikia zinaendana sana na ufalme wa
Mungu na kwa maana wewe ni wazazi lile la
ufalme wa mbinguni kwa hiyo sauti ambazo uta kuwanazo zitakuwa za ufalme wa Mungu kwa
sababu upo Upande wake kwa mfano huwezi ku
waza au kuwa na sauti ya uzima wakati wewe umeshaambiwa kwamba hatapona kwa hiyo sauti
kubwa ambayo utakuwa nayo ni ya kufa kumbuka
kuwa kuna sauti mbili ambazo zinapingana.
Duniani pande hizo ni upande wa ufalme wa
mbinguni na upande mwingine ni juu ya ufalme
wa shetani,  hivyo sauti ambazo utakuwa unzisikia
ni kutokana na kwamba wewe ni uapande upi
yaani wewe kama ni Raia wa Ufalme wa mbinguni
utasikia sauti ya ufalme wa mbinguni lakini pia
kama wewe ni wa ufalme wa shetani.

 Yohana10:10 
Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu;
mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe
nao tele.

  Unagunda kwamba kumbe kusudi la Yesu kuja duniani ni ili tupate uzima tele
kwa maana hiyo, kama wewe ni raia wa ufalme wa
mbinguni basi lipo neno la uzima ndani yako
ndio maana ni vyema kufahamu kwamba upande ulioko ndiko unaweza kusikia sauti za uapnde huo

Oh haleluya ni maombi yangu kwamba Yehova yawe akupe neema ya kufahamu sauti yake ni ajabu sana na dio maana katika neno

Ufunuo 3:20  Tazama, na simama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu,  na
kufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami

Oh sikiliza kwa makini maana hii itakusaidia tangu ile siku ile
unapozaliwa chumba chako cha sauti kinaanza kazi ya kurekodi matukio mbali mbali na ndipo siku ile
utapofungua mlango Yesu aingie ndani yako hiyo ndio siku ambayo zile sauti ambazo ulikuwa nazo wakati ukiwa dhambini zitafutwa ndio maana Yesu anasema kwamba atakayesikia sauti yake na kufungua moyo wake yeye huingia ndani yake hii inamaana kwamba kuna watu wengine ambao hawawezi kuisikia sauti ya Bwana Yesu kwa sababu ndani yao tayari kuna sauti zingine za ufalme wa giza.

 Yohana 3;16 kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda Ulimwengu,
maana yake ni kwamba pamoja na mambo mengi ambayo yamegubika watoto wa Mungu alakini Mungu bado atamtuma mwanae wa pekee ili kwamba kila amwamini asipotee bali awe na uzima wa milele. Na  hii ndio maana katika ufunuo anasema mtu akisikia kwa maana nyingine mtu anaweza asisikie

 katika ukoo au katika familia unaweza kuuliza kivipi mtu yeyote anapozaliwa mara ya kwanza anazaliwa kimwili kwa mapenzi ya Baba na Mama maana hii ndio sababu kwamba lazima uwe chini ya sheria ingawa wewe ni Bwana wa yote katika yohana 3:1—6 unagundua kwamba kitu kilichozaliwa kwa mwili ni mwili na kilichozaliwa kwa Roho ni Roho.

mtu anapozaliwa anakuwa chini ya agano lile la kwanza mambo yote ya kale yanaambatana naye kwani amezaliwa mara ya kwanza,  kuzaliwa mara ya kwanza maana yake ni kwamba wanaokukata kitovu ni wanadamu

Ezekiel 16: 1 –6 Neno la Bwana lilinijia tena, kusema, mwanadamu, uujulishe Yerusalumu machukizo yake. Useme, Bwana MUNGU auambia Yerusalemu hivi; Asili yako na kuzaliwa kwako  kwatoka katika nchi ya  Mkanani; Mwamori alikuwa baba yako na mama yako alikuwa Mhiti. Na katika habari za kuzaliwa kwako, siku ile uliyozaliwa, kitovu chako hakikukatwa, wala hukuoshwa maji ya usafishwe; lakini ulitupwa nje uwandani; huktiwa chumvi hata kidogo wala hukutiwa ngui kabisa. Name nilipo pita karibu nawe, nikakuona ukigaagaa katika damu yako,

 unagundua kwamba ingawa tendo la kukata kitovu linaonekana kama la kimwili lakini lina nguvu ya maunganiko katika ulimwengu wa kiroho ijapokuwa wanadamu
wanahusika kukikata Lakini Mungu nae pia anakuja kukikata Pia na mara ya pili kwa njia ya Roho hapo ndipo utakuwa mwana wa Mungu kwa kuzaliwa tena mara ya pili tena si kwa mapenzi ya mwili mbali kwa roho .

2 koritho 5:17. Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo basi amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! yamekuwa mapya. upya maana yake ni kuzaliwa mara ya pili, hii ina maana kwamba ni lazima ukatwe tena kitovu kwa mara ya pili katika Bwana Yesu.
 !
        Yohana 1:12 Bali wote walio mpokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mgungu, ndio wale waliaminio jina la Yesu. 
. tunajifunza pamoja na kuona kwamba bali wote.  Oh haleluya neno wote lina maana kubwa,Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa
kufanyika wana wa Mungu Amen!  Hivyo fahamu kwamba si kwamba unaokoka kwa sababu unaweza bali ni kwa uweza wa neno katika tafsiri nyingine ni mamlaka kwa hiyo watu wengine wanaweza kusema kwamba hakuna kuokoka ni kwa sababu wewe umempokea Yesu na kwa sababu neno linasema wote waliompokea
aliwapa uwezo wa
kufanyika wana wa Mungu ndio wale au sisi tuaminio neno lake.

Hivyo sasa ukishafanyika mwana wa Mungu tayari stesheni yako ya sauti inaanza kunasa sauti za ufalme wa mbinguni na haki yake yote haleluya kwa Bwana.




 SEHEMU YA TATU
NENO LITATHIBITISHA!

Kwa sababu mpango wa Mungu ndani ya maisha yake nathani ya kwamba ni mpango ambao ni mzuri ndani ya maisha yako hasa ukilinganisha vile anayosema katika neno lake
Yeremia 29:11 Maana nayajua mawazo ninayowazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si yamabaya, kuwapa ninyi matuini siku zenu za mwisho.

        Nanyi mtaita  na kwenda na kuomba nami
nitawasikiliza ninyi mtanitafuta na kuniona mtakapo nitafuta kwa moyo wenu wote. Nami nitaonekana kwenu asema Bwana.

Oh haleluya sana kwa mwana wa Mungu natamani kwamba ufahamu vizuri na kuona kwamba kumbe upo mpango kabambe wa Mungu juu ya maisha yako.  Yote haya utagundua pale ambapo chumba chako cha sauti kimekaa vizuri kama ambavyo nimekwisha kufundisha ya kwamba Bwana Yesu mwenyewe alitoa mwelkeo wa jinsi ya kufanya maombi ya kwamba wewe usalipo ingia ndani ya chumba chako cha sauti ndipo uanze kusali tena baada ya kufunga milango ndipo uanze kusali.
Suala la kufunga milango misuala la muhimu sana
kufahamu ndani ya maisha yako kama mwombaji maana kama utaingia kusali milango yangu ikiwa wazi basi utakuwa unaomba majibu yanakuja kinyume na unavyoomba  au unavyokusudia. Kwa sababu iko ivi shetani mpango alio nao juu ya mwanadamu ni
kuangamiza pamoja na majeshi yake yamekula kiapo cha kuua wanadamu ndipo Bwana Yesu asema



kwamba usalipo lazima uingie katika chumba chako cha ndani kwa tafsiri nyingine shetani na majeshi yake wamekula kiapo kwa hiyo ukiacha
kujificha au kajifungia chumbani wakati wa kuomba basi mashambulizi yatakupata kwa wingi kwa sababu shetani pamoja na majeshi yake wamekula kiapo cha kuwa tangu mawazo.

Hivi haina maana kwamba ukiwa ndani ya chumba chako vita ndo umemaliza hapana, isipokuwa utapigana ukiwa salama huo ndio unafuu au faida za kupigana ukiwa ndani ya chumba chako cha ndani ooh haleluya hii ni sawa na mwanajeshi anapoingia katika andiko sio ndio  vila vimeisha lahasha ila tu anajipanga upya kwa mapambano makali zaidi,
Yohana 8:31-32 Basi yesu akawa ambiwa wale wayahudi waliomwamini, Ninyi mmekaa katika neno langu, mmekuwa kwelikweli. Tena mtafahamu kweli, nayo hiyo kweli itaweka huru.  

Maandiko yasema kuwa ninyi mkikaa katika neno langu neno kwa tafsiri nyingine ni ndani ya neno langu mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli Oh haleluya, nataka nikwambie kwamba ili uthibitike neno likae ndani uatweza kuthibiti kweli katika haki na katika sheria ya ufalme wa mbinguni  Katika maandiko hakuna sehemu nyingine ambapo Yesu anasema tunaweza kuwa wanafunzi wake kweli kweli ispokuwa pale tu tunakubali kukaa ndani ya neno ukiwa ndani ya Yesu hautahitaji tena mtu mwingine kukuthibitisha ila lile neno lenyewe litakuthibitisha.

Ooh acha niseme kwamba kile chumba chako kiwe na sauti ya ufalme wa mbinguni unahitaji neno la Mungu sana ndani ya maisha yako maana neon ndilo litakutambulisha mbele za Mungu kwa njia ya maombi ni pale utakapokuwa ukiomba kwa mfano:-



Baba katika jina la Yesu naja kwa njia ya Yesu ukisema unajitambulisha tena kwa neno kwamba kama ulivyosema katika neno lako

Mathayo 16:19 Nami nitakupa wewe funguo za Ufalme wa
Mbinguni; na lolote utalofunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni;na limefunguliwa na mbinguni; na lo lote utakalolifungua duniani, na mbinguni litakuwa limefunguliwa mbinguni.

Hivyo nasema kwamba kulinganana neno lako Bwana ninafunga milango mingine yote ambayo shetani ametumia kunishambulia katika jina la Bwana Yesu nataka tu nikwambie wazi ukiweza kutumia neno la Mungu katika maombi yako basi maombi yako yatakuwa yanajibiwa mpaka wewe mwenyewe unashangaa maana utakuwa umethibiti katika haki pia utakuwa mbali na kuonewa.

 Isaya 54 :14utathibitika katika haki;utakuwa mbali na kuonewa ,kwa maana hutaogopa ;na mbali na hofu ,kwa maana haitakukaribia .
.  Ooo Bwana Yesu apewe sifa hakuna njia nyingine ambayo unaweza kuwa mbali na kuonewa na sauti za kale isipokuwa pale tu utakapothibitika katika haki Amen!  Jambo la muhimu ni kwamba shetani anaogopa sana mtu ambaye amethibitika katika haki Ooo ni maombi yangu kwamba Mungu akupe neema uweze kuthibitika katika jina la Bwana Yesu.

Yohana 8:32 Tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.

kutokana na sauti nyingi  za mambo ya kale                                                                                                                                                                                                                                   umekuwa ndani ya vifungo mbali mbali leo             
kuna njia moja tu
ambayo wewe unaweza kukiponya chumba chako cha sauti ili kiweze kupokea tena sauti za
Mbinguni.
         
huru ni kwa sababu hakuna njia katika ufalme wa Mungu iwezayo kukuweka huru isipokuwa kweli kwa maana katika ufalme wa Mungu haki mbele mengineyo nyuma ndiyo maana ya neno utafuteni kwa ufalem wa mbinguni na haki yake yote na mengine mtazidishiwa.


        Mpendwa mwana wa Mungu hebu leo
ruhusu ukweli uwekeke huru nafahamu kwamba mara nyingi umeamini katika uongo sana wakati mwingine uongo wa Mababu zako mabibi wazazi hata matabibu kwa mfano inawezekana kuwa wewe umeshaambiwa kuwa tumbo lako la uzazi kina uvimbe hivyo hautapata mtoto Ok nawe umeamini. Nataka nikuambie kama nabii kuwa huo ni uongo wa kishetani hebu leo unaesoma
kitabu hiki achana na uongo huo tena mwamini Mungu juu ya tumbo hilo la uzazi nawe katika jina la Yesu mwakani majira kama haya haya utakuwa na mtoto kulingana kabisa na matakwa yako.


kutumia muda mwingi kuamini vitu ambavyo ni njama za kishetani ili kukupoteza katika mpango na Mungu katika maisha yako hivyo ndivyo vimechangia kwa kiasi kikubwa kuaribu mawasiliano ya karibu na Mungu wako ndani ya Maisha yako lazima uwe makini sana ndani ya akili pamoja ufaham wako kwa ujumla vinginevyo utakuwa uanarudi nyuma kila wakati ndani ya maisha yako ya Rohoni.

        Kwani kuna mapepo ambao kazi yake ni kurudisha nyuma mishale yako nyuma kwamba kuna vitu ulitakiwa kupata ndani ya mwaka mmoja lakini kutokana na mishale yako ya saa kurudishwa nyuma na majeshi ya shetani ndio maana haujapata umeomba sana mara kwa mara lakini hukupata jibu kutokana na maombi ambayo ulikuwa unaomba.

Daniel 10:11-14 Akaniambia Ee Danieli mtu upendwaye sana, yafahamu maneno nikwambiayo, ukasimame kiwima-wima; maana kwako nimetumwa  sasa. Na alipo niambia neon hili, nalisimama nikatetemeka.  Ndipo akaniambia, Usiogope, Danieli; kwa maana tangu siku ile ya kwanza ulipo utia moyo wako ufahamu, na kujinyenyekeza  mbele za Mungu wako,

maneno yako yalisikiwa nami nimekuja kwa ajili ya maneno yako ambayo wafalme wa uajemiwalinipiga kwa siku ishirini lakini huyo mikael mmoja hao wakuu wa mbele akaja kunisaidia name nikaenda huko pamoja na wafalme wa uajemi. Sasa nimekuja kukufahamisha mambo yata yo wapata watu wako siku za mwisho maana hayo maono ni ya siku nyingi bado.

        kuna majeshi ya shetani yanayorudisha maendeleo yako nyamu ambao kwa ujumla maendeleo yako ya kiroho nyuma ndio maana ukishagundua ukweli katika maisha yako kama mwana wa Mungu basi maombi yako yatajibiwa tu wapende au wasipende sikiliza maombi ya Daniel yalijibiwa si kwasababu wafalme wa uajemi wanapenda hapana ila yalijibiwa tu kwa sababu Danieli aliingia ndani ya chumba akaniruhusu sauti unayoita Mungu ni Mungu ajibuye wala hakuruhusu sauti ya kukata tama.

 Luka 18:1 Akawambia mfano, ya kwamba yapasa
kumuomba Mungu siku zote, wala wasikate
Tama. 
Akasema palikuwa na hadhi katika mji Fulani hamchi Mungu wala  hajali watu na katika mji huo palikuwa na mwanamke mjane aliyekuwa akimwendea mwendea akisema nipatie haki na adui yangu nae kwa mda alikataa halafu akajisemea moyoni ijapokuwa simchi Mungu wala sjali watu lakini kwa kuwa mjane huyu ananiudhi nitampa haki yake ili asinichoshe kwa kimijaa daima Bwana akasema sikilizeni asemavyo yule kadhi dhalimu.

        Ooh kulingana na mfano wa Bwana Yesu ni kwamba kubali kuwa msumbufu katika ulimwengu wa Roho yaani katika lugha nyingine hapa hatoki mtu mpaka kieleweke Oh haleluya kwa Mungu wetu.
         kwani baada ya wewe kufukuza sauti nyingine lazima kina sauti moja ambayo sasa itatawala kumbuka kwamba nilikwambia kuwa pengine sauti zinazokutesa ni za mababu, mabibi au wazazi kwani Samwel alikuwa ameruhusu sauti ya wazazi wake ambaye baba yake ambaye ni kuhani eti hivyo chumba cha sauti cha Samweli hakikuweza kupokea mawasiliano kutoka kwa Bwana mpaka amekubali huruhusu sauti ya Bwana na kuondoa sauti ya Eli Oh haleluya najua kuwa mfano
 huo wa Samweli ulikusaidia sana kufahamu jambo hilo mabayo najaribu kuliweka wazi mbele zako

1 Kor 14:11 Basi  nisipo ijua maana ya ile sauti nitakuwa kama mjinga kwake yeye anenaye; naye anenaye  atakuwa   mjinga kwangu.

 Samweli aliposikia Sauti ya Bwana ikimwita ukweli alikuwa kama mjinga kwake yeye ndio maana alienda kwa Eti Hii ni kwamba yawezekana kuwa Mungu alikuwa anasema nawe lakini haukujua kuwa huyo ni Mungu asemaye nawe Oh haleluya kwa Bwna Mungu.
 1 Samwel 3:1 Basi mtoto Samwel akamtumikia Bwana mbele ya Eti na neno la Bwana mbele ya Eli. Na neon la BWANA
lilikuwa adimu siku zile; hapakuwa na mafunuo  dhahiri.  Ikawa wakati Eli alipokuwa amelala mahali pakete macho yake tayari yalikuwa yameanza kupofuka hata asiweze kuona na taa ya Mungu ilikuwa bado haijazimika bado na Samweli alikuwa amelala katika hekalu la Bwana palikuwa na sanduku la Mungu basi wakati huo Bwana akamuita Samweli nae akasema mimi hapa.

        Oo haleluya kwa Mungu wetu ukiendelea kusoma hiyo habari utagundua kwamba sababu kubwa kwamba Samweli hakuweza kuelewa sauti ya Bwana ni kwa sababu ndani ya chumba chake cha sauti halikuwemo neno la Mungu ambalo ndilo hilo ambalo Bwana Yesu alisema kwamba tena utaifahamu kweli na hiyo kweli itakuweka huru.  

 .

GUNDUA SIFA KUU TAFUTA
TATU ZA SHETANI SHETANI
1. Muuaji
2. Mwongo
3. Baba wa uongo

Yohana 8:43 Mbona hamu ya famo haya nisemayo? Ni kwa sababu ninyi hamuwezi kulishika neno la Mungu.  Ninyi ni wa baba yenu bilisi na tama za baba yenu ndizo mpendazo yeye alikuwa muuaji wala hakusimama katika kweli ndani yake asemapo uongo husema yaliyo yake mwenyewe kwa sababu yeye ni mwongo na ni Baba wa uongo
shetani anazo sifa tatu kuu ambazo mara nyingi sana lazima azitumie sifa kuu yake kwanza ni muuaji kwa maana nyingine ni kwamba anauzoefu wa muda mrefu yeye kwa kazi yake ya kwanza kwa maana nyingine yeye kuwa mtu kazi ndogo maana anao uzoefu wa muda mrefu,Leo hii utakapoifahamu kweli ya Bwana yesu kristo hiyo ndio itakuweka huru.

        Oo Bwana Yesu apewe sifa sana,sikia iko hivi hata kama wachawi wamekutega irizi ya kuaharibu maisha yako tayari Mungu ameona na amesema neno juu ya miasha yako inawezekana kwamba mrefu maisha yako yamekuwa mashakani kwa sababu labda ya wachawi amabo wanazunguka maisha yako katika jina la Bwana Yesu natabiri kama nabii wa Bwana sasa mkono wa Bwana uko juu yao naweka utisho wa Bwana Yesu katika jina la Yesu kristo jina lipitalo majina yote.

       
        Natamani nikushirikishe vile asemavyo Bwana juu ya wale ambao wamekuwa watesi wako juu ya maisha yako nanikuambie kwamba huu ni wakati ambao watu lazima wajue kuwa yupo Mungu Bwana wa majeshi pamoja nawe

Ezekiel 13:20-21. Basi Bwana Mungu  asema ivi; Tazama mimi ni kinyume  cha Irizi zenu, ambazo kwa hizo mnaziwinda roho za watu kama ndege,  nami nitazitoa katika mikono yenu kwa nguvu; .
Nami nitaziachilia roho zile mnazo ziwinda kama ndege.  Na leso zena nazo nitazirarua, na kuwaokoa watu wangu katika mikono yenu,Wala hawatakuwa tena katika mikono yenu Kuwindwa; Nanyi mtajua ya kwamba mimi ndimi Bwana.

        Haijalishi kwamba umewindwa na wachawi wangapi ndani ya maisha yako lakini Bwana wa majeshi anasema kwamba lazima ataziachilia roho zote ambazo zimekuwa mawindoni kwa muda mrefu sana hii ni pamoja na wewe upotayari Bwana akufungue sasa?

       
SEHEMU YA  4
USITAMNI KUSIKIA JAMBO AMBALO
LITAKUHARIBIA UHUSIANO WAKO NA MUNGU.

        Kamaambavyo nimekusha kusema hapo mwanzo yakwamba maisha ya mwanadamu yanaongozwa na sauti, hii ni siri yaajabu sana ambayo wakati mwingine mwanadamu anaweza asijue, lakini shetani anajua yakuwa kuna uponyaji mkubwa tena wa ainayake kwa mwanadamu awaje yote anayesikia sauti ya Mungu katika maisha yake na ndiyo maana maranyingi Adui shetani amekuwa akitumia sana eneo hilo la sauti kuharibu mausiano kati ya mtu na Mungu lakini pia hata mtu na mtu.

        Yako mambo mbalimbali katika maisha yetu yakila siku ambayo kwa kadri tunavyo yasikia ndivyo yanavyo zidi kutuharibia ukaribu wetu na Mungu, na hii nikwamba maranyingi mwanadamu anafanana sana na vitu anavyokaa navyo katika maisha yake ya kila siku, na jambo kubwa sana ambalo linaendesha maisha ya mwanadamu , kila siku ni sauti ambazo amekuwa anazisikia katika maisha yake.

        Katika hili jambo ningependa ufahami ya kwamba hakuna jambo lolote ambalo mwanadamu atatamani kuwa wa kwanza kuliona kabla ya kusikia habari za jambo husika pasipo kujalisha uzuri wajambo au ubaya wa jambo lenyewe ndiyo maana huwezi kutamani kufika kwenye tukio ambalo hujasikia habari zake.

Pia ikitokea umeona tukioambalo hujasikia
habari zake maranyingi utapuzia tu,kunatofauti kubwa sana kati ya harusi
ambayo ulisikia habari zake na harusi ambayo katika kupita kwako ukaona tukio la harusi maranyingi utaona lakini utapuuzia kwani hujui kwamba hiyo harusi ni ya nani,Ingawa zote ni harusi tofauti yake ni kwamba harusi;
A: Unajua kwamba ni ya ndugu flani.Lakini
    Harusi B: Hujui ni ya nani, japokuwa zote zinaitwa harusi.

  Oooh Bwana yesu asifiwe sana najaribu kutumia mifanao kadri Roho mtakatifu anavyo nijalia ili upatekug’amua jambo flani kwa urahisi mfano mwingine kunatofauti kati ya msiba ulio sikia habari zake na msiba uliopita kwa bahati mbaya ukaona watu wanazika hiyo yote ni misiba lakini tofauti yake ni msiba A. Ulisikia tena unamfahamu na  B hujasikia lakini umepita tu njiani ukaona watu wanazika.
        Sasa baada ya hapo ningependa tuende pamoja nawe tena katika hatua nyingine ambayo itakupelekea kufahamu kwa undani maana yakipengele hichi kinacho sema usitamani kusikia jambo ambalo linaweza kusababisha uhusiano wako kutetereka mbele za mungu.
  Ooh   aleluya lazima ufahamu kwamba utafiti unaonyesha kwamba habari zozote mbaya huenea na kusikika na watu wengi zaidi kuliko habari njema.

Mfano wa vitu ambavyo vinaweza kuharibu kabisa uhusiano wa mtu na mtu au na Mungu kwanza kabisa ni vyema ijulikane kwamba mungu anapotaka kutoa taarifa flani Duniani pamoja nakwamba anatumia malaika zake lakini ni lazima awapate watu wakushirikiana naye.
        Luka 2:8-9 Nakatika nchi ile walikuwekowachungaji wakikaa makondeni na kulinda kundi lao kwa zamu usiku.  Malaika wa Bwana akawatokea ghafla,utukufu wa Bwana ukawang’ari pande zote, wakaingiwa na hofu kuu.

Hapo tuona mambo mawili au makumdi mawili makuu.  A: Tunawaona malaika wa Bwana, 
B Tunaliona kundi la wachungaji ambao maandiko yanatuambia kwamba walikuwa wa kulinda makundi yao kwa zamu nini ambacho najaribu kukueleza hapa ni kwamba pamoja na kuona Mungu ametuma malaika lakini hawa malaika wasinge weza kufika kwa kila moja ndivyo maana Mungu akaona vyema kutumia hawa wachungaji wa kondoo ili habari ziweze kuwafikia wote.

 Ndio maana ni nyema fahamu kwamba jambo lolote ambalo umewahi kusikia chanzo chake siyo binadamu ni aidha Mungu au shetani binada mu yeye ni kama ajenti tu, watu wengi wanajikuta wamesikia jambo flani na mahusiano yao yakaharibika na Mungu,  Baada ya wao kuhukumu ajenti ambaye ni binadamu na unapo hukumu mtu ambaye yeye ni mjumbe tu Mungu anaamua kutokuongea  nawe kwa sababu umekataa kusikia sauti yake kupitia mtu,au mjumbe wake kabla hujafanya maamuzi yoyote kuhusiana na habari uliyosikia fanya kwanza uchunguzi ili kujua chanzo cha hiyo habari watu wengi wamejikuta wakigombana na Mungu baada ya kutokusikia sauti ya Mungu kupitia mjumbe wake.

        Katika hayo maandiko ambayo tumetoka kuyatazama tuliona kwamba malaika walipofika wachungaji waliogopa sana hii ni kwasababu walikuwa bado hajasema jambo lolote nivyema ujue ya kwamba utakapo ona jambo bila kusikia hofu inakuingia  
kutengeneza maana, sawa wachunga walifahamu kwamba hao ni malaika lakini hawakujua kwamba wamefuata nini ndivyo maana wachungaji waliona malaika lakini hakuelewa mpaka walipo sema nao kwa kuwatoa hofu, Luka 2:10.Malaika akawambia, msiogope; kwa maana nimewaletea habari njema  ya furaha itakayo kuwa kwa watu wote.

Kwahiyo unaona kwamba malaika kwa kutambua kwamba wanadamu huongozwa na sauti wakaamua kusema usiogope maana nimewaletea habari njema hivi leo amezaliwa mwokozi wenu hapo ndipo wachungaji walipo jua sababu za hao malaika kuja Kwao Mungu ana watumia watu kueleza jambo ambalo anapenda watu wake wajue na silazima Mungu atumie mtu unayempenda kuwakilisha ujumbe wake kwako hata hiyo ufahamu kwamba maranyingi Mungu hutmia kitu au mtu anayeonekana wakati mwingine kuwa mnyonge sana hebufikiria kwamba mawaziri pamoja na waheshimiwa walikuwepo lakini Mungu aliamua kupitisha ujumbe wake kwa wachungaji maana yake ni kwamba ili usigombane na Mungu kubali kusikia sauti yake pasipo kumlazimisha Mungu atumie njia unayopenda wewe hii imesababisha watu wengi kuto kusikia sauti ya Mungu.
 maana wengi wangependa Mungu atumie vyanzo na wanavyovipenda wao wenyewe na kwakua adui yetu shetani anajua kwamba watu wanapenda hivyo ndiyo maana amekuwa akija kwako kwa njia upendayo wewe kumbuka kwamba nilisha sema hapo nyuma ya kuwa mwanadamu anacho chumba kimoja tu cha sauti maana yake lazima patakuwepo ushindani mkubwa dhidi ya ufalme wa Mungu kwa maana ya kwamba Mungu anahitaji usikie sauti Yake,pia shetani naye anatamani usikie yakwake. 

        Ndiyo maana maranyingi napenda kusema kuwa watu wengi hupenda kusikia nakuona maruweruwe, huwezi kuongozwa na Nabii halafu ukategemea kwamba usikie sauti ya Mungu kwingineko isipokuwa hapo kwahiyo nabii au huyo mtumishi ambaye Mungu amemsimamisha mbele yako kwa wakati huo watu wengi wanamwacha Mungu madhabahuni wanaenda nyumbani kwao huku wakilia na kuomba kwamba eemungu naomba kusikia sauti yako pia nione uso wako, wakati sauti na sura yake umeiacha kanisani au madhabahuni kama wewe ni mtu wa hivyo basi tegemea kuona pamoja na kusikia maruweruwe ya shetani sio ya Mungu maana sauti ya Mungu ni ya kueleweka ndiyo maana anaingia gharama kuhakukusha anamwinua mtu mmoja ambaye atamsikizisha sauti yake naye akisha elewa ndipo aende kusema na watu wengine ambao wao hawakuwepo wakati Mungu anaongea na yule mtu wake.

 Kutoka 3:2 Malaika wa BWANA akamtokea, katika mwali wa moto ulio toka katikati ya kijiti; akatazama nakumbe! Kile kijiti kiliwaka moto, nacho kijiti hakikuteketea.  
tayari Mungu amekwisha sikia kilio cha wana wa Israel pamoja na hayo ni lazima Mungu atafute Miongoni mwanao ni nani ambaye anaweza kumsikizisha sauti yake ili apate kwenda kuwaokoa wana  wa Israel kama ambavyo nimekwisha sema kusema ya kwamba ili kusikia sauti ya Mungu unahitaji kukutana na mtu ambaye tayari amesha sikia sauti ya Mungu na hii ndiyo maana Mungu alipoamua kusema na wana wa Israel alimwandaa Musa ijapo kuwa yeye ni Mungu ambaye anaweza mbambo yote lakini aliona afanya ushirika na Musa  kwanza na kujitambulisha kwake ili Musa aweze kumfahamu vyema kabla haenda kwa wana wa Israel.

 Bwana Yesu apewe sifa asna unaanza kwanza kuomba pamoja na kuwa Mungu ni muweza mambo yote lakini hakuna mahali unaweza kuona akifanya jambo lolote bila kushirikisha Mwanadamu ndiyo maana nilisema watu wengi wanamuacha Mungu madhahuni waenda kupiga magoti nyumbani kwao wakiomba kusikia sauti ya Mungu.

        Kutoka 2:24-25 Mungu akasikia kuugua kwao,Mungu akakumbuka agano lake alilolifanya na Ibrahimu na Isack na Yacobo. Mungu akawaona wana wa Israheli, na Mungu
akawangalia.Maadniko yanasema ya kwamba mungu akasikia kuugua kwa wana Israel na pia akaona hapa napenda uone kwamba kwa nini Mungu hajataka kuona kwanza kabla ya kusikia?
Ni kwa sababu tangu hapo mwanzo tumekwisha sema kwamba mfumo mzima wa mwanadamu unaongozwa na sauti, ndiyo maana kilichopelekea Mungu kuanza na kuangalia ni sauti ya kuugua kwa wana wa Israhel ndicho kilicho sababisha Mungu kutazama tu, lakini ni baada ya kusikia sauti ya kilio

Katika kurasa zilizopita tuliona ya kwamba maandiko yanasema yamkini duniani kuna sauti za aina nyingi maana ya neno yamkini “inawezekana” na kila sauti unayo isikia ina maana yake ikitokea kwamba umesikia sauti na hujajua maana yake haimanishi kwamba ile sauti haina maana bali wewe umekuwa kama mjinga kwake anaye nawe.
 Kutoka 6:4 Tena nimethibitisha agano langu nao, la kuwapa nchi ya kanaani nchi ya kukaa kwao hali ya ugeni.  Hapo ndani ya hayo maandiko tunaendelea kujifunza pamoja na kuona ya kwamba Mungu asema ya kwa tayari amedhibitisha agano lake kwa wana wa Israel lakini point yangu inakuja hapo katika mstari wa 5 na ziadi ya huyo nimesikia kuugua kwao wana wa Israel nami nitawaokoa na utumwa wao nami nitawakombo kwa mkono ulionyoshwa na kwa hukumu kubwa,
Tunaona jinsi Mungu anavyo siitiza kwenye kusikia kuliko kuona ndiyo maana anasema zaidi ya yote “above all” kwa maana hiyo sasa ni vyema kutambua ni sauti ya namna gani imesikiwa zaidi katika maisha yako.



SEHEMU YA (5) KILIO CHA MWANADAMU KUSIKIWA NA MUNGU:


        Hata hivyo pamoja na kuwa kilio kinaonyesha kwamba mtu anayelia anahitaji msaada lakini bado kilio peke yake hakitoshi kusababisha mtu anayelia kupata msaada wakati mwingine kuongeza matatizo kwa hiyo mwanadamu anayelia kwa maana nyngine inategemea unalia juu ya nini?
Mfano watu wengi wanapokuwa kwenye shida wachukua hatua ya kumlilia Mungu amesha sikia kilio chako na pia inawezekana amesha jibu ila wewe kwa sababu ya shida nyingi umeshindwa kujua kama shida au kilio chako kumefikia mbele za Mungu hii ni kwa sababu watu wengi hawajui namna ambayo Mungu anajibu maombi au kilio cha watu wake, na kwa bahati mbaya sana huwezi kulazimisha Mungu asikie na kujibu maombi yako kwa namna unayopenda wewe na pia kumbuka kwamba Mungu hajibu mtu kwa sababu ya wingi wa shida zake au mateso yake lakini kwanza je kati ya hao waliao kuna menye agano?

Katika watu hao waliao au je pana mtu kati ya hao waliao mwenye agano na Mungu? Mara nyingi napenda kutumia msemo usemao Mungu hatishiwi na shida anaangalia agano lake katika maisha ya mtu husika au hata kwa baba zako au babu zako maana yake ni kwamba je? Katika uzao wenu yupo mtu mwenye agano na Mungu? Au hayupo nawe umeendelea kulia pasipo bila majibu yoyote?

Najua ya kwamba hapo nyuma tulipo toka tuliona kwa Mungu alisikia kilio cha wana wa Israeli sababu za Mungu kusikia kilio cha wana wa Israel pamoja na kuwa wana Waisrael walienda Misri kwa sababu njaa kilikuwa na agano la kimungu juu ya safari yao.

Mwanzo 46:1—Akasafiri Israel, pamoja na yote aliyokuwa nayo akaja Beer—sheba akamchinjia sadaka Mungu wa Isaka babaye Mungu akanena na Israhel katika ndoto ya usiku akasema Yakobo, Yakobo akasema mimi hapa. Ukiendelea mpaka mstari wa 7 unaona ya kuwa Israel Mungu anaweka agano naye ya kuwa atashuka pamoja naye mpaka Misiri lakini `utamrudisha tena katika nchi ile aliyokuwa amewahidi babaye isaka na Ibrahimu.

Israeli hakua wanalia kilio kutupa badi kilio ambacho wanajua ya kuwa Mungu aliwaahidi kuwatoa hapo walipo kuwa kwenye mateso hayo ya wa Misri hivyo kwa lugha nyingine walikuwa wanamkumbusha Mungu ahadi zake juu yao ndiyo maana napenda kusema kwamba hajibu maombi kwa sababu pana mtu anayelia Mungu anajibu kwa sababu kuna agano lake juu ya mtu anayeomba.

 sasa kumekuwa na shida nyingi juu ya watu wanaomba katika siku hizi maombi yetu yamegeuka kelele mbele za Mungu maana wazazi wetu hawakuwa na maagano na Mungu bali familia nyingi zetu zina maagano ya waganga wa jadi pamoja maagano ya kishirikiana na kwa sababu hiyo watu wamejikuta wakiteseka sana bila msaada wa Mungu ni kwa sababu ya mfumo Fulani mbovu ambao haumpi Mungu utukufu na Mungu hafanyi jambo lolote bila kutarajia utukufu wake kurudisha kama mtu anateseka na ugonjwa Fulani atapita kwingi akitafuta uponyaji mara hospitali kwa waganga wa kienyeji akiona imeshindikana ndipo anaamua kusema aacha! Labda tu mpeleke akaombewe kwa hiyo watu wengi waliombewa ni kana kwamba wamemfanya Mungu kuwa ziada sasa yeye ni Mungu mwenye wivu,katika hali hiyo utaomba na kulia sana Mungu hawezi kusikia wala kujibu maombi yako maana pamoja na kwamba kimwili unaonekana unalia lakini moyo wako unaonekana Kwamba Mungu kwako ni ziada nivyema mpendwa ujue kwamba Mungu ni roho na tena yeye anawatafuta wale wamwabuduo yeye kutoka roho.

Na kwahiyo Yeye anajua kuwa wewe umempa nafasi ya ngapi katika moyo wako,watu wengi huja makanisani kuombewa huku wakitoa nadhiri nyingi za uongo mbele za watumishi wa Mungu, mfano mimi nikipona nitajenga kanisa lakini anapotamkiwa tu neno la uponyaji na akiona kwamba tayari ameshapata nafuu basi haonekani tena kanisani kumbe Mungu alikuwa akimjaribu mara ugonjwa unamrudia tena kwa kasi zaidi ndipo wengi wanachukua hatua ya kuhama kanisa kumbe tatizo hapo siyo kubadilisha madhabu tatizo ni kwamba Mungu kwako ni ziada.

Ni maombi yangu ya kwamba utoke kwenye kundi linalo mfanya Mungu kuwa ziada mpaka kundi ambalo mungu kuwa ni kimbilio na nguvu.unaweza kufanikiwa kumdanganya mchungaji
Kwamba umeacha ushirikina lakini kumbuka ya kwamba Mungu wa mbingu anaona kila mahali naye anakusubiri tu siku utakapo ingia kwenye agano aanze kujitukuza kwako.

Yohana 4:23 lakini saa inakuja nayo sasa ipo ambayo waabuduo halisi watamwabudu baba katika roho na kweli kwa maana baba anawatafuta watu kama hao wa mwabuduo.
Ndani yahapo maandiko yanena ya kuwa siku utakapo anza kufanya ibada zako katika roho ndipo utakapo kuwa halisi mbele za mungu aliye hai lakini hakuna jinsi unawenza kuwa halisi mbele ya za mungu ikiwa bado mungu kwako ni ziada.


 SEHEMU YA 6 MADHARA YA KUTOKUSIKIA SAUTI YA MUNGU

Kutoka 6:9 musa akawaambia wana wa Israeli maneno hayo lakini hakumsikiliza musa kwaajili ya uchungu wa moyo na kwaajili ya utumwa mugumu

Bwana yesu apewe sifa sana hapo ndani yahayo maandiko tunajifunza pamoja na kuona jinsi ambavyo wana wa Israeli walivyo kataa kusikia sauti ya Mungu kupitia musa mtumishi wake kama ambavyo katika kurasa zilizo pita tulijifunza pamoja na kuona yakuwa Mungu husema na watu wake kupitia mjumbe wake ingawa pia anaweza kusema nawe moja kwa moja kupitia ndoto lakini maranyingi hupitia watumishi wake.jambo la kushangaza hapo ni kwamba wana wa Israel wanamwomba Mungu awatoe kwenye mateso naye ameamua kuja kwa kupitia mtumishi wake lakini tena wanakataa kusikia yake

Mara nyingi nimeona tatizo kubwa la watu kutokusikia sauti ya Mungu kwa sababu mbalimbali ikiwepo uchungu wa moyo dhambi na hali ngumu ya maisha ndiyo maana watu wengi sana leo makanisani maombi yao mengi huambatana na machozi hii ni kwasababu ya uchungu wa moyo pia na kukosa tumaini juu ya maisha huku wengine wakisema Mungu sema nami naye akisema wanashindwa kujua kwamba ni yeye anasema kupitia musa.

Jifunze kumtambua Musa ambaye Mungu  amemuiwa kwajili ya kukutoa misiri Musa anaweza kuwa mtumishi wako, wazazi wako Bosi wako Rais wako mume au mke wako kitu chochote ambacho kunakutoa katika hatua Fulani kwenda nyingine katika lsuala zima ;a ukombozi wako basi hicho kitu au hiyo mtu anaweza kuwa musa wako.

Kumbukumbu la torati 28:1 – 5  ikiwa utakapoisikia sauti ya Bwana, Mungu wako kwa bidii ndani ya hayo maandiko tunafunza pamoja na kuona kitu kiitwacho badii maana yake ni kwamba katika Kilaja jambo ambalo unajaribu kutaka mpenyo wake kabla hujaanza kulifuatilia ujue kwanza Mungu anasemaje, ndiyo maana ya kusikia sauti ya Mungu kwa bidii leo ukisikiliza maombi ya watu wengi hawaombi kusikia sauti ya Mungu bali wanaomba kuona maono ni sawa, sisemi kwamba kuona maono ni dhambi ili unaweza kuona maono lakini unabaki tu kushangaa, kutoka 3:2

unaona ya kuwa malaika wa Bwana amemtoka Musa na katika Mstari wa tatu Musa anatambua kwamba hayo ni maono naye aligeuka ili kutazama hayo maono alichoombulia hapo ni kushangaa kijiti kinawaka moto nacho hakiteketei baada ya Musa kusogea pale Mungu akatambua yuko tayari kusikia sauti yake ndiyo hapo unamwona Mungu anamwita Musa naye akasema mimi hapa Mungu aksema kwamba vua  viatu vyako maana mahali hapo uliposimama ni patakatifu Ooo Bwana Yesu asifiwe sana watu wengi wanapoona maono wanaishia kushangaa tu maana maono bila sauti ya Mungu ndani yake hule hali ya sinto fahamu.sasa mpendwa msomaji wangu maono bila sauti ya Mungu ni sinema isiyo na sauti ni sawa ya kwamba uangalie sinema nyumbani kwako ambayo haina sauti hebu fikiri Musa kama asingesikia nsauti angekuja kuwaambia nini  Wana wa israel? Unadhani angewaambia tu ameona kijiti kilicho waka moto nacho hakikuteketea je wangemwelewa? Wasinge mwelewa ndiyo maana Mungu akaongea leo matatizo mengi kwenye kanisa la Mungu duniani kwa sababu wengi wanahitaji kuona laki hawasikii jambo.

  shetani amegundua kwamba wetu wengi wanapenda kuona ndiyo maana ndoto nyingi za kutisha zimetokea mara mtu anaota kikimbizwa mara anaota anakula nyma mara anatoekewa na mtu anafanya na mapenzi kwa njia ya ndoto yote hayo ni baada ya shetani kugundua kwamba watu wengi wa kizazi hiki wanapenda ndoto maana ni kizazi kilicho potoka.
Mwaka 2013 /3/Mungu alimtuma kuongea na kanisa lake katika nchi ya Burundi alinionyesha madhabahu yake Burundi nami nikaona mwana kondoo amesimama madhabahuni masikio yake yameinamishwa yakafungwa kabisa na mdomo wake umefungwa lakini macho yake yanaona ndipo

Bwana akaniambia liambie Kanisa langu la Burundi lifungue masikio yake ili lipate kunisikia haikuwa
kazi Raisi kusema na maskofu pamoja na wachungaji wa nchi ile maana kwanza mimi ni mgeni lakini pia wao wanaamini kwamba wako sawa mbele za Mungu wewe ambaye umepata neema ya kusikia sauti ya Mungu utapata shahuku ambayo siyo ya kawaida kabisa,Kwani kuna Baraka iwapo utasikia sauti ya Mungu vinginevyo unaweza ukajikuta unaendelea kuteseka wakati kumbe Mungu ameshaongea na mtumishi wake juu ya shida yako.Ni vyema leo ukafahamu kama katika maisha yako Msaada wako uko wapi acha kuteseka Mungu ameshaongea juu ya taabu yako katika jina la Yesu kristo wa azareth.

Pokea mlango wa kutokea sasa katika hiyo Misiri yako ambayo umekuwepo hata sasa kupitia kitabu hiki Mungu anaongea nawe na ni maombi yangu kuwa utaelewa ya kuwa ni Mungu anaongea nawe kupitia maandiko haya na uchukie hata ya imani sasa kutamani kusikia kwa bidii sauti ya Bwana Mungu wako.

Watu wengi hivi leo wanapata shida mbalimbali kwa sababu tu, kuna siku Mungu aliongea na wewe lakini hukuweza kujua kwamba ni Mungu ,kuna wakati unaweza kujikuta ukifanya kazi  bila mafanikio kwa sababu nilikwisha sema nyuma kwamba Mungu anatumia watu flani kufikisha ujumbe wake ndani ya maisha yako

Luka 5:3-5 akaingia katika chombo kimoja ndicho chake Simon,akamtaka akipeleke mbali kidogona pwani.akaketi,akawafundisha makutano ali chomboni.hata alipokwisha kunena ,alimwambia Simoni tweak mpaka kilindini ,mkashushe nyavu zenumvue samaki.Simoni akajibu akamwambia Bwana mkubwa tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha tusipate kitu ;lakini kwa neno lako nitashusha nyavu
 
Simoni anajua faida za kutii sauti ya Mungu ndio maana pamoja na kwamba alifanya kazi hiyo ya kuchosha usiku kucha lakini kwa neno la Bwana alikubali kushusha zile nyavu zake ,na tunaona jinsi samaki walivyo jaa nakutia moyo kwamba haijalishi upo katika hali gani lakini kama leo ukisikia sauti ya Bwana Yesu maisha yako yata badilika kabisa.