WARAKA WA KINABII JUU YA MADHABAHU YA BWANA KATIKA NCHI YA TANZANIA


MKAWAFANYE MATAIFA YOTE KUWA WANAFUNZI WANGU MKIWABATIZA KWA JINA LA BABA,MWANA NA ROHO MTAKATIFU























WARAKA WA KINABII JUU YA MADHABAHU YA BWANA KATIKA NCHI YA  TANZANIA ,NABII PATIMO

Wakati huu Bwana ameongea tena juu ya kanisa lake lililotekwa na uovu na machukizo ya kila namna na ya kwambaBwana anaona wivu sana juu ya madhabahu yake inayozidi kuchafuliwa siku hadi siku ,na sasa yeye aliye mwanzo na mwisho Mungu mkuu muumbawa  mbingu na nchi Mungu wa Isaka ,Ibrahim na Yakobo  Yehovah Sabaothi,Yehovah Nisi ,Yehovah Ellgibo,Yehovah Markadeshi .
Amenituma kwako kwa waraka huu wa kinabii Ee kanisa la Tanzania hata lini utageuka na kumrudia Bwana Mungu wako?
Usiku wa leo tarehe 8/12/2013 Bwana akanichukua katika Roho mtakatifu macho yangu yakafunguka nami nikaona makundi mawili ndani ya nchi moja yaani sekali halali na serikali ya watu walioasi ,ndipo nikaona wakitafuta namna ya kupatana ikashindikana kabisa.vita ikatokea ndipo Bwana akanichukua tena mpaka mahali pasiri,nami nikaona tukio hilo lililo sababisha taharuki ndani ya Nchi ya Tanzania nami niokaona watanzania wakiingia katika makambi ya wakimbizi ndani ya nchi yao wenyewe kutokea upande wa kaskazini ,kusini na mashariki,katika hayo maono macho yangu ya roho yakafunguka zaidi nikaona wingi wa miiba ikiwachoma walio kuwa wakikimbia vurugu hizo na tazama ndani ya hiyo miiba nikaona wadudu wenye rangi ya brauni wenye vichwa vigumu na vikali misili ya misumari  ikiwangata wale walionusurika na ile miiba na katika  hayo maumivu makali sana Bwana akanionyesha madhabahu yake,nikaona maji yaliyokuwa kwenye ndoo yako nusu juu ya madhabahu .
Ndipo nikasikia sauti ikiniambia oga,oga,oga,nami nilipo oga nikasikia sauti ya mwanamke(kanisa)ikishangaa yakwamba nimewezaje kuonga !Ndipo Bwana akaniambia liambie kanisa langu lioge na kujitakasa maana kanisa langu limetekwa na uovu na machukizo ya kila namna ,tena Bwana  akanichukuatena katika Roho nami nikaona wakati na majira ya kurudi kwake mwana wa Mungu na harusi ya mwana kondoo ikiwa tayari maandalizi yake Bwana akanionyesha kwa mfano wa saa ya kibinadamu ili nipate kuelewa zaidi nikaona mshale wa dakika ukiwa arobaini na tano maana yake kasoro robo.
Natena nikaona vazi jeupe sana likiwa tayari kwajili ya tukio la harusi ya mwanakondo nikawaona malaika wa Bwana wakiwa tayari kwajili hiyo,lakini Bwana harusi alipotazama bibi harusi wake (kanisa)akakuta ametekwa na ndio maana ya ilesauti ya mwanamke (kanisa)iliyokuwa ikinishangaa nikioga ,ndipo nikauona wivu mkuu wa Bwana juu ya bibi harusi wake (kanisa )aliyetekwa Bwana akasema nami kama alivyo nane kwa kinywa cha Nabii Sefania 6:8,Basi ningojeeni asema Bwana hata siku ile nitakapo ondoka kuteka mateka .maana nimeazimia kuwakusanya mataifa ili nizikusanye falme nipatekuwamwagia gadhabu yangu naam,ukali wote wa  hasira yangu kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa wivu wangu
Bwana anakuja kukomboa kanisa lake lililotekwa na uovu amegiza toba ya kweli na yakumaanisha juu ya madhabahu yake maana anakuja upesi ,wewe uliyepata waraka huu wa kinabii chukua hatua ya kutubu sasa ,la sivyo wakati Bwana atakapoiadhibu nchi ole wao makuhani wasimamao katika madhabahu iliyotekwa na uovu kwa maana Bwana atakapoichukua mateka ya madhabahu yake iliyotekwa na uovu hao makuhani wataangamizwa pamoja na uovu huo uliokidhiri katika madhabahu kwakuwa wivu mkuu wa Bwana umewaka juu ya madhabahu yake .
Heri hao watubuo na kuoshwa dhambi zao kwa damu ya mwana kondoo tena heri roho itubuyo asema Bwana wa majeshi.
Nabii Patimo www.trbimtz.org +255762946327 ,The rivers of breakthrough international ministries