MKAWAFANYE MATAIFA YOTE KUWA WANAFUNZI WANGU MKIWABATIZA KWA JINA LA BABA,MWANA NA ROHO MTAKATIFU
WARAKA WA KINABII JUU YA MADHABAHU YA BWANA KATIKA NCHI YA TANZANIA ,NABII PATIMO
WARAKA WA KINABII JUU YA MADHABAHU YA BWANA KATIKA NCHI YA TANZANIA ,NABII PATIMO
Wakati huu
Bwana ameongea tena juu ya kanisa lake lililotekwa na uovu na machukizo ya kila
namna na ya kwambaBwana anaona wivu sana juu ya madhabahu yake inayozidi
kuchafuliwa siku hadi siku ,na sasa yeye aliye mwanzo na mwisho Mungu mkuu
muumbawa mbingu na nchi Mungu wa Isaka
,Ibrahim na Yakobo Yehovah
Sabaothi,Yehovah Nisi ,Yehovah Ellgibo,Yehovah Markadeshi .
Amenituma kwako
kwa waraka huu wa kinabii Ee kanisa la Tanzania hata lini utageuka na kumrudia
Bwana Mungu wako?
Usiku wa leo
tarehe 8/12/2013 Bwana akanichukua katika Roho mtakatifu macho yangu
yakafunguka nami nikaona makundi mawili ndani ya nchi moja yaani sekali halali
na serikali ya watu walioasi ,ndipo nikaona wakitafuta namna ya kupatana
ikashindikana kabisa.vita ikatokea ndipo Bwana akanichukua tena mpaka mahali pasiri,nami
nikaona tukio hilo lililo sababisha taharuki ndani ya Nchi ya Tanzania nami niokaona
watanzania wakiingia katika makambi ya wakimbizi ndani ya nchi yao wenyewe
kutokea upande wa kaskazini ,kusini na mashariki,katika hayo maono macho yangu
ya roho yakafunguka zaidi nikaona wingi wa miiba ikiwachoma walio kuwa
wakikimbia vurugu hizo na tazama ndani ya hiyo miiba nikaona wadudu wenye rangi
ya brauni wenye vichwa vigumu na vikali misili ya misumari ikiwangata wale walionusurika na ile miiba na
katika hayo maumivu makali sana Bwana
akanionyesha madhabahu yake,nikaona maji yaliyokuwa kwenye ndoo yako nusu juu
ya madhabahu .
Ndipo nikasikia
sauti ikiniambia oga,oga,oga,nami nilipo oga nikasikia sauti ya mwanamke(kanisa)ikishangaa
yakwamba nimewezaje kuonga !Ndipo Bwana akaniambia liambie kanisa langu lioge
na kujitakasa maana kanisa langu limetekwa na uovu na machukizo ya kila namna
,tena Bwana akanichukuatena katika Roho nami
nikaona wakati na majira ya kurudi kwake mwana wa Mungu na harusi ya mwana
kondoo ikiwa tayari maandalizi yake Bwana akanionyesha kwa mfano wa saa ya
kibinadamu ili nipate kuelewa zaidi nikaona mshale wa dakika ukiwa arobaini na
tano maana yake kasoro robo.
Natena nikaona
vazi jeupe sana likiwa tayari kwajili ya tukio la harusi ya mwanakondo
nikawaona malaika wa Bwana wakiwa tayari kwajili hiyo,lakini Bwana harusi
alipotazama bibi harusi wake (kanisa)akakuta ametekwa na ndio maana ya ilesauti
ya mwanamke (kanisa)iliyokuwa ikinishangaa nikioga ,ndipo nikauona wivu mkuu wa
Bwana juu ya bibi harusi wake (kanisa )aliyetekwa Bwana akasema nami kama alivyo
nane kwa kinywa cha Nabii Sefania 6:8,Basi
ningojeeni asema Bwana hata siku ile nitakapo ondoka kuteka mateka .maana
nimeazimia kuwakusanya mataifa ili nizikusanye falme nipatekuwamwagia gadhabu
yangu naam,ukali wote wa hasira yangu
kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa wivu wangu
Bwana
anakuja kukomboa kanisa lake lililotekwa na uovu amegiza toba ya kweli na yakumaanisha juu ya madhabahu yake maana anakuja
upesi ,wewe uliyepata waraka huu wa kinabii chukua hatua ya kutubu sasa ,la
sivyo wakati Bwana atakapoiadhibu nchi ole wao makuhani wasimamao katika
madhabahu iliyotekwa na uovu kwa maana Bwana atakapoichukua mateka ya madhabahu
yake iliyotekwa na uovu hao makuhani wataangamizwa pamoja na uovu huo
uliokidhiri katika madhabahu kwakuwa wivu mkuu wa Bwana umewaka juu ya
madhabahu yake .
Heri hao
watubuo na kuoshwa dhambi zao kwa damu ya mwana kondoo tena heri roho itubuyo
asema Bwana wa majeshi.
Nabii Patimo www.trbimtz.org
+255762946327 ,The rivers
of breakthrough international ministries