UNABII JUU YA AJALI MWEZI WA SITA
Tarehe 9/6/2016 Bwana alimpa Nabii wake neno la kinabii kwa habari ya Ajali itakayolikumba Taifa la Tanzania na Nbii aliwataka watu kuomba juu ya Taifa ili kuepusha Roho ya ajali lakini watu walipinga na kumpiga mawe ya Maneno siku saba tu baada ya unabii
Tarehe 9/6/2016 Bwana alimpa Nabii wake neno la kinabii kwa habari ya Ajali itakayolikumba Taifa la Tanzania na Nbii aliwataka watu kuomba juu ya Taifa ili kuepusha Roho ya ajali lakini watu walipinga na kumpiga mawe ya Maneno siku saba tu baada ya unabii
UNABII JU
U YA ARUSHA. OLE WAKO EE KANISA LA ARUSHA UNANI WEWE HATA
KUDHIRA NA KUONDOKA MBELE ZA BWANA?????
AJALI YA MOTO.MNAMO 17/9/2014 MAJIRA YA 16.00 HRS HUKO KIJIJI CHA
NG'ALILE (W) RUANGWA (M) LINDI KATIKA BARABARA YA NANGANGA - RUANGWA,
GARI LA ABIRIA NO.T417BNH YOUTONG MALI YA BALAJ TRANSPORT IKIENDESHWA NA
ATHUMANI RASHID CHONGWE MWENYE UMRI WA MIAKA50 KABILA MZARAMO MKAZI WA
BUGURUNI D'SLAAM LILIUNGUA MOTO NA KUTEKETEA KABISA.
CHANZO CHA MOTO HUO BADO HAKIJAJULIKANA. HAKUNA MADHARA KWA ABIRIA WALA MALI ZAO.
Basi la NBS linalotoka DAR kwenda TABORA limepata ajali mbaya maeneo ya
Gairo Morogoro. Watu 4 wafariki na 10 kujeruhiwa katika ajali
ya basi la NBS.
Huku ajali nyingine ya basi la KISBO likijeruhi watu kadhaa Morogoro. Basi la Kisbo T895CYL Limepata ajali ya kuparuzana na trailer flatbed eneo la Magubike Kilosa.
ya basi la NBS.
Huku ajali nyingine ya basi la KISBO likijeruhi watu kadhaa Morogoro. Basi la Kisbo T895CYL Limepata ajali ya kuparuzana na trailer flatbed eneo la Magubike Kilosa.
siku 21 baadaye
Tarehe 27/2/2015 saa
11 asubuhi nikiwa Mwanza wilaya ya Magu bwana alinichukua katika Roho mpaka
Arusha ndipo akanionyesha jinsi ambavyo
kanisa la arusha lilikuwa mbele zake
lakini lilikuwa limedhira yaani limemkataa bwana wakati nikiwa katika hayo
maono na tazama nikaliona kanisa la Bwana nimeondoka mbele za Bwana yaani
limeacha njia yake.Ndipo nikaiona gathabu ya Bwana imewaka juu ya Arusha
nikamwona Bwana akiunyoosha mkono wake wa hasira kali juu ya Arusha tena
nikasikia Sauti ikiuliza wako wapi wachungaji wa Arusha? Nami sikuwaona ila
niliona watu waliokuwa hawazidi wato wakiwa wamelala chini kifudifudi wakiomboleza
juu ya Arusha.
Watu 30 wafariki kwa ajali ya gari Singida
Watu 24 wamefariki na
wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari mawili ya
City Boy eneo la Maweni mkoani Singida
Watu 24 wamefariki na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali
iliyohusisha magari mawili ya City Boy eneo la Maweni mkoani Singida.
Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo Kamishna Msaidizi wa Polisi mkoa wa
Singida Thobias Sedoyeka amesema ajali hiyo imehusisha basi lenye
usajili wa no T 531 BCE likitokea Dar es Salaam kwenda Kahama na basi
namba T 247 lililokuwa likitokea Kahama kwenda Dar es Salaam.
Aidha metaja mabasi hayo ni mali ya kampuni ya City Boys ambapo
yamegongana uso kwa uso na kuua abiria 24 papo hapo na wengine sita
kufariki baadaye na wengine kujeruhiwa na kueleza kuwa idadi ya majeruhi
na vifo vitaendelea kutolewa.
Siku ya tarehe
8/3/2015 yaani siku tisa baada ya tarehe 27 nikiwa katika ibada ya kinabii magu
mwanza nikasema tena Bwana anakwenda kuipiga arusha kwa gathabu yake maana
tayari mkono wa Bwana ujuu ya arusha ,tena nimeona moto mkuu umeachiliwa juu ya
arusha ,siku moja baadaye yaani siku ya tarehe 9 saa tisa mchana Bwana
akathibitisha maneno ya kinywa changu kwa kupiti ITV breaking news ,nukuu ya
ITV zaidi ya migodi 15 mererani arusha imeteketea
kwa moto na zaidi ya watu 1500 hawana
kazi na wengine zaidi ya 1000 hawana makaazi,unabii huu ambao Bwana Jehovah
amenionyesha umetimia ni kweli kwamba hatafanya jambo lolote bila kuwajulisha
watumishi wake Manabii
Hatahivyo tunawapole
watu wa arusha pamoja na serikali ya mkoa huo lakini nitakuja arusha maana
Bwana anataka kanisa la Arusha lirudi mbele zake. Shalom Nabii patimo.
Unabii juu ya kufariki kwa Mhe.capten Jonh Komba
Tarehe 14.2.2015 Nabii wa Mungu patimo akiwa katika dhiara ya kinabii katika mkoa wa kagera wilaya ya karagwe kata ya kayanga majira ya saa tisa alfajiri Bwana alimuonesha maono ya msiba huo na haya ndiyo yalikuwa maneno yake aliyowaambia waombaji waliokuwa wakiomba Dodoma kwajili ya nchi na taifa kwa ujumla kupitia kwenye simu ya askofu mama Kimonge 0763452034
shalom mtumishi tafadhali ombeni juu ya hili nimeona msiba wa kitaifa yaani kiongozi amefariki tena nimeona bendera ya taifa juu ya jeneza .tarehe 27 mwezi wa pili yaani siku 14 baada ya unabii wa Nabii wa Mungu patimo unabii ukatimia taifa likaomboleza kifo cha kiongozi maarufu wa kisiasa na kitaifa ambaye sana alijulikana kwa kipawa chake cha uimbaji, nikweli kabisa hakuna jambo litakalo tokea katika taifa au mataifa pasipo Bwana kumjulisha nabii wake .hatahivyo huduma ya mito ya upenyo inayoongozwa na Nabii wa Mungu patimo inapenda kutoa pole sana kwa familia ya hayati mhe, capten john komba ni kweli kabisa kwamba taifa pia limempoteza mtu muhimu sana .Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la BWANA libarikiwe Amen
UAMUSHO
MKUU KUTOKE TANZANIA ULIO GAWANYIKA MARA 3
Tarehe
31/1/205 saa tisa alfajiri nilipokuwa katika Roho mtakatifu macho yangu ya roho
yalifunguka nami nikaliona kanisa la Bwana katika nchi ya Tanzania likiwa
katika hali ya ukiwa na kujikunyata kanisa amabalo limesinyaa kanisa amabalo
halina mamlaka kabisa,nikiwa katika hali ya kuendelea kulitazama kanisa Bwana
akaniambi lete mkono wako nami nilipofungua kiganja changu cha mkono akaniwekea
vitu viwili vidogo vyenye mfano wa vidonge vya priton kisha akaniambia kunja
kiganja chako halafu tembea
Nilipoanza
kutembea vile vitu viliwaka moto ndani ya mkono wangu naye akasema kaza mwendo
nilipo kaza mwendo navyo vikazidi kuwaka zaidi akaniambia kwa sauti kuu
kimbiiaaa nilipokimbia vikalipuka mlipuko mkuu katika mkono wangu naye
akaniambie mwaga huo moto katika ardhi ya Tanzania nami nikafanya
hivyoo,akaniambia huu ni uamusho mkuu unakwenda kutokea kwa mkono wangu
mwenyewe ni uamusho ambao hapana mtu yeyote awezaye kuubeba kwa mkono wake
isipokuwa ni kwa mkono wangu mwenyewe .
Baada ya
hapo niliendelea kutembea katika njiaa hiyohiyo ya kanisa ndipo nikaona uamusho
wa pili ambao ni uamusho wa uponyaji wa magonjwa sugu ,Bwana akanionyesha kwa
mfano wa kapu kubwa sana lililo jaa aina flani ya matunda ukitaza kwamfano wa
kibidamu yanafanana na machungwa lakini ni makubwa sana akaniambia chukua ule
nilipochukua hayakuwa na ladha yoyote mwanzoni hivyo sikumaliza nikatupa inje
ya lile kapu akaniambia chukua jingine ule nami nilipochukua nikaanza kula
kwambali nilihishi ladha flani mdomoni mwangu baada ya hapo akanimbia huu ni
uamusho wa uponyaji wa magojwa sungu na tena amelikumbuka kanisa na watu
masikini ambao hawana pesa za kufuata tiba katika inchi za mbali yohana 6:30 .
Nilipo endelea mbele kidogo nikama nilishuka katika
bode flani nami nikakuta mvua kubwa sana
nabaada ya hiyo mvua nikaona majengo makubwa sana ya kuabudi na tena
nikaliona kusanyiko kuu likiabudu Mungu katika Roho na kweli na katika uweza
mkuu wa Mungu .
Nabii patimo
www.trbimtz.org
WARAKA WA KINABII
JUU YA MADHABAHU YA BWANA KATIKA NCHI YA
TANZANIA ,NABII PATIMO

Wakati huu
Bwana ameongea tena juu ya kanisa lake lililotekwa na uovu na machukizo ya kila
namna na ya kwambaBwana anaona wivu sana juu ya madhabahu yake inayozidi kuchafuliwa
siku hadi siku ,na sasa yeye aliye mwanzo na mwisho Mungu mkuu muumbawa mbingu na nchi Mungu wa Isaka ,Ibrahim na
Yakobo Yehovah Sabaothi,Yehovah Nisi
,Yehovah Ellgibo,Yehovah Markadeshi .
Amenituma
kwako kwa waraka huu wa kinabii Ee kanisa la Tanzania hata lini utageuka na
kumrudia Bwana Mungu wako?
Usiku wa leo
tarehe 8/12/2013 Bwana akanichukua katika Roho mtakatifu macho yangu
yakafunguka nami nikaona makundi mawili ndani ya nchi moja yaani sekali halali
na serikali ya watu walioasi ,ndipo nikaona wakitafuta namna ya kupatana
ikashindikana kabisa.vita ikatokea ndipo Bwana akanichukua tena mpaka mahali pasiri,nami
nikaona tukio hilo lililo sababisha taharuki ndani ya Nchi ya Tanzania nami
niokaona watanzania wakiingia katika makambi ya wakimbizi ndani ya nchi yao
wenyewe kutokea upande wa kaskazini ,kusini na mashariki,katika hayo maono
macho yangu ya roho yakafunguka zaidi nikaona wingi wa miiba ikiwachoma walio
kuwa wakikimbia vurugu hizo na tazama ndani ya hiyo miiba nikaona wadudu wenye
rangi ya brauni wenye vichwa vigumu na vikali misili ya misumari ikiwangata wale walionusurika na ile miiba na
katika hayo maumivu makali sana Bwana
akanionyesha madhabahu yake,nikaona maji yaliyokuwa kwenye ndoo yako nusu juu
ya madhabahu .
Ndipo
nikasikia sauti ikiniambia oga,oga,oga,nami nilipo oga nikasikia sauti ya
mwanamke(kanisa)ikishangaa yakwamba nimewezaje kuonga !Ndipo Bwana akaniambia
liambie kanisa langu lioge na kujitakasa maana kanisa langu limetekwa na uovu
na machukizo ya kila namna ,tena Bwana akanichukuatena katika Roho nami nikaona
wakati na majira ya kurudi kwake mwana wa Mungu na harusi ya mwana kondoo ikiwa
tayari maandalizi yake Bwana akanionyesha kwa mfano wa saa ya kibinadamu ili
nipate kuelewa zaidi nikaona mshale wa dakika ukiwa arobaini na tano maana yake
kasoro robo.
Natena
nikaona vazi jeupe sana likiwa tayari kwajili ya tukio la harusi ya mwanakondo
nikawaona malaika wa Bwana wakiwa tayari kwajili hiyo,lakini Bwana harusi
alipotazama bibi harusi wake (kanisa)akakuta ametekwa na ndio maana ya ilesauti
ya mwanamke (kanisa)iliyokuwa ikinishangaa nikioga ,ndipo nikauona wivu mkuu wa
Bwana juu ya bibi harusi wake (kanisa )aliyetekwa Bwana akasema nami kama
alivyo nane kwa kinywa cha Nabii Sefania
6:8,Basi ningojeeni asema Bwana hata siku ile nitakapo ondoka kuteka mateka
.maana nimeazimia kuwakusanya mataifa ili nizikusanye falme nipatekuwamwagia
gadhabu yangu naam,ukali wote wa hasira
yangu kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa wivu wangu
Bwana
anakuja kukomboa kanisa lake lililotekwa na uovu amegiza toba ya kweli na yakumaanisha juu ya madhabahu yake maana anakuja
upesi ,wewe uliyepata waraka huu wa kinabii chukua hatua ya kutubu sasa ,la
sivyo wakati Bwana atakapoiadhibu nchi ole wao makuhani wasimamao katika
madhabahu iliyotekwa na uovu kwa maana Bwana atakapoichukua mateka ya madhabahu
yake iliyotekwa na uovu hao makuhani wataangamizwa pamoja na uovu huo
uliokidhiri katika madhabahu kwakuwa wivu mkuu wa Bwana umewaka juu ya
madhabahu yake .
Heri hao
watubuo na kuoshwa dhambi zao kwa damu ya mwana kondoo tena heri roho itubuyo
asema Bwana wa majeshi.Nabii Patimo www.trbimtz.org +255762946327 ,The rivers of breakthrough
international ministries