SIKU 90 ZA TOBA KWAJILI YA TANZANIA





Shalom Tanzania ,napenda kusema kwamba huu ni wakati wa kwenda mbele za Mungu kama taifa kwa toba juu ya nchi yetu ya tanzania Mungu amekuwa akisema nami marakwamara juu ya toba kwa taifa sawasa na kitabu cha ezekiel 14:1-14 katika hayo maandiko tunajifunza pamoja na kuona jinsi ambavyo Mungu anasema juu ya Taifa ambalo limetenda dhambi ya kuabudu Sanamu pamoja na Vinyago vya kila namna kwahiyo yako mambo mengi sana ambayo yumefanya kama Taifa vitu hivyi vimesimama mbele za Mungu kama vinyago na ibada ya sanamu kwa leo sitavitaja lakini wewe chukua hatua hii ya kutubu kwajili ya nchi.2nyakati 7:12-14