walikuwa hawatembei sasa wanatyembea uamusho mkuu umetokea tanzania






UAMUSHO MKUU KUTOKE TANZANIA ULIO GAWANYIKA MARA 3


Tarehe 31/1/205 saa tisa alfajiri nilipokuwa katika Roho mtakatifu macho yangu ya roho yalifunguka nami nikaliona kanisa la Bwana katika nchi ya Tanzania likiwa katika hali ya ukiwa na kujikunyata kanisa amabalo limesinyaa kanisa amabalo halina mamlaka kabisa,nikiwa katika hali ya kuendelea kulitazama kanisa Bwana akaniambi lete mkono wako nami nilipofungua kiganja changu cha mkono akaniwekea vitu viwili vidogo vyenye mfano wa vidonge vya priton kisha akaniambia kunja kiganja chako  halafu tembea


Nilipoanza kutembea vile vitu viliwaka moto ndani ya mkono wangu naye akasema kaza mwendo nilipo kaza mwendo navyo vikazidi kuwaka zaidi akaniambia kwa sauti kuu kimbiiaaa nilipokimbia vikalipuka mlipuko mkuu katika mkono wangu naye akaniambie mwaga huo moto katika ardhi ya Tanzania nami nikafanya hivyoo,akaniambia huu ni uamusho mkuu unakwenda kutokea kwa mkono wangu mwenyewe ni uamusho ambao hapana mtu yeyote awezaye kuubeba kwa mkono wake isipokuwa ni kwa mkono wangu mwenyewe .


Baada ya hapo niliendelea kutembea katika njiaa hiyohiyo ya kanisa ndipo nikaona uamusho wa pili ambao ni uamusho wa uponyaji wa magonjwa sugu ,Bwana akanionyesha kwa mfano wa kapu kubwa sana lililo jaa aina flani ya matunda ukitaza kwamfano wa kibidamu yanafanana na machungwa lakini ni makubwa sana akaniambia chukua ule nilipochukua hayakuwa na ladha yoyote mwanzoni hivyo sikumaliza nikatupa inje ya lile kapu akaniambia chukua jingine ule nami nilipochukua nikaanza kula kwambali nilihishi ladha flani mdomoni mwangu baada ya hapo akanimbia huu ni uamusho wa uponyaji wa magojwa sungu na tena amelikumbuka kanisa na watu masikini ambao hawana pesa za kufuata tiba katika inchi za mbali yohana 6:30 .


 Nilipo endelea mbele kidogo nikama nilishuka katika bode flani nami nikakuta mvua kubwa sana  nabaada ya hiyo mvua nikaona majengo makubwa sana ya kuabudi na tena nikaliona kusanyiko kuu likiabudu Mungu katika Roho na kweli na katika uweza mkuu wa Mungu .


Nabii patimo www.trbimtz.org