"Behold, I make a covenant before all the people. That i will do marvels, such as have not been done in all the earth, nor in any nation. And all the people shall see the work of the LORD: for it is a terrible thing that I will do with thee. Exodus 34:10 this is very powerful covenant that God has made to His people that His is going to preform miracles such have never been done in anywhere or any nation means this is something unique that Hi is going to do in your life in Jesus.
UAMUSHO
MKUU KUTOKE TANZANIA ULIO GAWANYIKA MARA 3
Tarehe
31/1/205 saa tisa alfajiri nilipokuwa katika Roho mtakatifu macho yangu ya roho
yalifunguka nami nikaliona kanisa la Bwana katika nchi ya Tanzania likiwa
katika hali ya ukiwa na kujikunyata kanisa amabalo limesinyaa kanisa amabalo
halina mamlaka kabisa,nikiwa katika hali ya kuendelea kulitazama kanisa Bwana
akaniambi lete mkono wako nami nilipofungua kiganja changu cha mkono akaniwekea
vitu viwili vidogo vyenye mfano wa vidonge vya priton kisha akaniambia kunja
kiganja chakohalafu tembea
Nilipoanza
kutembea vile vitu viliwaka moto ndani ya mkono wangu naye akasema kaza mwendo
nilipo kaza mwendo navyo vikazidi kuwaka zaidi akaniambia kwa sauti kuu
kimbiiaaa nilipokimbia vikalipuka mlipuko mkuu katika mkono wangu naye
akaniambie mwaga huo moto katika ardhi ya Tanzania nami nikafanya
hivyoo,akaniambia huu ni uamusho mkuu unakwenda kutokea kwa mkono wangu
mwenyewe ni uamusho ambao hapana mtu yeyote awezaye kuubeba kwa mkono wake
isipokuwa ni kwa mkono wangu mwenyewe .
Baada ya
hapo niliendelea kutembea katika njiaa hiyohiyo ya kanisa ndipo nikaona uamusho
wa pili ambao ni uamusho wa uponyaji wa magonjwa sugu ,Bwana akanionyesha kwa
mfano wa kapu kubwa sana lililo jaa aina flani ya matunda ukitaza kwamfano wa
kibidamu yanafanana na machungwa lakini ni makubwa sana akaniambia chukua ule
nilipochukua hayakuwa na ladha yoyote mwanzoni hivyo sikumaliza nikatupa inje
ya lile kapu akaniambia chukua jingine ule nami nilipochukua nikaanza kula
kwambali nilihishi ladha flani mdomoni mwangu baada ya hapo akanimbia huu ni
uamusho wa uponyaji wa magojwa sungu na tena amelikumbuka kanisa na watu
masikini ambao hawana pesa za kufuata tiba katika inchi za mbali yohana 6:30 .
Nilipo endelea mbele kidogo nikama nilishuka katika
bode flani nami nikakuta mvua kubwa sananabaada ya hiyo mvua nikaona majengo makubwa sana ya kuabudi na tena
nikaliona kusanyiko kuu likiabudu Mungu katika Roho na kweli na katika uweza
mkuu wa Mungu .